Kireka1980
JF-Expert Member
- Mar 18, 2008
- 302
- 44
dalili za kukata tama hizo...
Mwenye mwongozo anisaidie....
Kimsingi Freemasons kwangu hawana tofauti na watu kama Wakatoliki, tena Freemason - the part that is publicly known- wako more altruistic kuliko Wakatoliki - the part that is publicly known-.
Wote wanaamini mungu na the supernatural, and that does not impress me much.
Unless unataka kuwatumia kupanda ngazi, which is cheap and despicable, sioni watakuwa na jipya gani.
Freemason ni antichrist, ni shetani!!!
Haya ni mawazo ya wapuuzi wasioujua ukweli
Wewe mwerevu unayejua ukweli weka hapa jamvini with supporting evidence/links