Baada ya habari za uhalifu wa mara kwa mara uhusianawo na wizi wa mafuta ya transformer, tafadhali sana naomba mnisaidie kujua... ukiachia mbali matumizi yake yaliyokusudiwa ndani ya transformer za kupozea umeme kwenye gridi za Taifa, hivi hayo mafuta yanatumika kufanyia nini?!
Akhsante.
SteveD.
Steve, wewe unajua bwana sema unataka kujua wakinanani wanahusika humu JF.
ukiangalia thamani ya vitu kama mkorogo au kukaanga chips, cost-benefit ya wizi wa mafuta hayo haiwezi kuwa justified.
Ukweli ni kuwa mafuta hayo yanatumiwa na watu wenye malori/mabasi yaendayo safari za masafa. Mafuta hayo yanadaiwa kudumu kwa muda mrefu na yanasaidia kupooza engine. They are too expensive to be bought in the open market.
Swali ni kuwa : TANESCO wako serious kuzuia wizi huo?
Kukaangaa Samaki
ukiangalia thamani ya vitu kama mkorogo au kukaanga chips, cost-benefit ya wizi wa mafuta hayo haiwezi kuwa justified.
Ukweli ni kuwa mafuta hayo yanatumiwa na watu wenye malori/mabasi yaendayo safari za masafa. Mafuta hayo yanadaiwa kudumu kwa muda mrefu na yanasaidia kupooza engine. They are too expensive to be bought in the open market.
Swali ni kuwa : TANESCO wako serious kuzuia wizi huo?
Baada ya habari za uhalifu wa mara kwa mara uhusianawo na wizi wa mafuta ya transformer, tafadhali sana naomba mnisaidie kujua... ukiachia mbali matumizi yake yaliyokusudiwa ndani ya transformer za kupozea umeme kwenye gridi za Taifa, hivi hayo mafuta yanatumika kufanyia nini?!
Akhsante.
SteveD.
sijaelewa maana ya 'matuzi'
Wanajamvi nafahamu kuwa wengi wetu tumeshasikia juu ya matumizi ya mafuta hayo kukaangia viazi(chips).
Mara nyingi sipendi kuamini maneno ya vijiweni, hivyo nimekuja kwenu nikiamini kuwa naweza kupata taarifa makini toka kwenu. Je, hili swala lina ukweli?
Tena ilikuwa ni wakati muafaka Serikali kukemea na kuelezea ubaya wa mafuta ya Transformer kutumika kupikia chips kuliko kujikita katika mafuta ya ubuyu ambayo wananchi wameyatumia kwa muda mrefu tena hata huyo anaye kanusha akiwa mmoja wapo.
Inasemekana kwamba kuna vijana wanatumia mafuta ya transformer kupikia chips kwasababu mafuta hayo hayaishi haraka na hayachafuki kutokana na moshi mara zote ni mafuta yaliyo safi na yanadumu kwa takribani miezi sita hivi kwa lita moja. Najisikia nafsi inanisuta hata ninavyobdika duration yake ya miezi sita maana kama wahalifu wa chips wakiona hii watawalisha watu wengi mafuta ya transformer huko mitaani.