data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,138
- 22,709
Njoo huku ZNZ, unione jinsi nilivo dhofu li hali
Bahati mbaya hilo halitawezekana kwani​ sipo karibu. HAta hivyo nitaendelea kukuombea dua.Maongezi kwa simu hayatanoga, nataka uso kwa uso my dear
Na gharama ndogondogo utanilipia?
I.e Gauni na kiatu cha mtoko,
hela ya kujaza gari mafuta,
Hoteli au Bar tutakayokutania nk.
Funguka tujitose.
Utalala kwa mjomba huko BWEJUU
King'asti huyu atakubali........usiende dada yangu nasikia wajomba wa huko ni wapenzi kuji-express usije sema sikukwambia
Kaka usihofu! Ngoja nimuonyeshe huyu mwanamke mie mjini sikuja kwa mbio za mwenge! Siendi n'gooo!
hahaha shosti
Hajui ulikuja mjini kwa lori la mkaa........una uchungu na maisha lol!