EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Kwahiyo watu watume tu PM randomly?
Kwani PM huwa zinatumwaje? Randomly?
Kwahiyo watu watume tu PM randomly?
Kwani PM huwa zinatumwaje? Randomly?
Kwani PM huwa zinatumwaje? Randomly?
Ndo mimi nataka kujua, unachagua vipi wa kumtumia?
Press Ctrl+Shift+Alt+ALL then Ctrl S. Enter.
habarini wana jf,kutokana na kila cku wanaume kuumiza wanawake nimeamua kutumia fursa hiii kumtafuta serious man ambaye atakuwa na hekima maarifa ya maisha na awe mcha mungu!welcom atakaye kuwa serious ntampa contact!
habarini wana jf,kutokana na kila cku wanaume kuumiza wanawake nimeamua kutumia fursa hiii kumtafuta serious man ambaye atakuwa na hekima maarifa ya maisha na awe mcha mungu!welcom atakaye kuwa serious ntampa contact!
You sound like one frustrated woman who has no husband. Poole sana. Wacha wenzako ambo wameolewa wakae hivyo hivyo.
If you are looking for a man who will be compatible (to your needs) 100% please create a robot for yourself. Otherwise with your attitude stay away from marriage and married man.
habarini wana jf,kutokana na kila cku wanaume kuumiza wanawake nimeamua kutumia fursa hiii kumtafuta serious man ambaye atakuwa na hekima maarifa ya maisha na awe mcha mungu!welcom atakaye kuwa serious ntampa contact!
habarini wana jf,kutokana na kila cku wanaume kuumiza wanawake nimeamua kutumia fursa hiii kumtafuta serious man ambaye atakuwa na hekima maarifa ya maisha na awe mcha mungu!welcom atakaye kuwa serious ntampa contact!
habarini wana jf,kutokana na kila cku wanaume kuumiza wanawake nimeamua kutumia fursa hiii kumtafuta serious man ambaye atakuwa na hekima maarifa ya maisha na awe mcha mungu!welcom atakaye kuwa serious ntampa contact!
Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha.
Sifa zake:
- Awe na Umri usiopita miaka 40
- Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia na uzuri wa asili
- Awe na tabia njema na asiwe na tamaa
- Awe ana ndoto za maendeleo na mitazamo chanya katika maisha na anayejiamini
- Awe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Diploma - PhD
- Awe tayari kupendwa na kupendeka, kudekezwa na kudeka
- Awe tayari kwa uhusiano wa muda mrefu kama tutaelewana
Sifa zangu:
- Umri wangu miaka kati ya 45-50
- Elimu yangu: Shahada ya Uzamili
- Kazi: Nimeajiriwa na Kujiajiri
- Sina mke
- Nina watoto wawili
Ambaye yuko seriously tuwasiliane kwa PM au barua pepe gentleman.waukweli@gmail.com
PM na barua pepe zote zitajibiwa 24X7 kwa walio seriously
loreeen umeona eeeh
ungewekeza toka zamani yote haya yasingekukuta ,ungehamia tu upande wa pili kilaiini,
next time uhakikishe benchi kuna wawili watatu.
we ni kuingiza tu kitu uwanjani majeruhi yakitokea