True wananchi wanadanganywa tu internet cafe ndio hiyo inazinduliwa.Hii si inaweza kupatikana hata kwenye simu ya kiganjani?
Linaipiku New York soonJiji la Chato linakuja kwa kasi.
Kikubwa tu mjitahidi kuwafundisha Punda kuzumia taa za barabarani
SoonLinaipiku New York soon
Usje ukabugi kwenda kutafuta ajira utaishia kukutana na mikokoteni ya pundaMungu Ni Mwema Wakati Wote
Chato Itabaki Kuwa Juu,Juu Mawingu
😅😄😃🤣😂😁😁
Mimi wala sio mchaga...huu unafanya ni utoto...wachaga wajinyonge kwanini...?mbona unakua mkabila hivyo?Wachaga watajinyonga kwa wivu
Binafsi nilikuwa najiuliza hiki kituo cha tehama kikoje?True wananchi wanadanganywa tu internet cafe ndio hiyo inazinduliwa.
Wananchi wanadanganywa kwa maneno halafu wanaanza kusifia kweli hahaa ukweli ni kwamba wanazindua vilivyopo na kuchezea kodi bila vipaumbele wananchi wa geita karibia wote wana simu za mkononi na wanaperuzi kwenye internetBinafsi nilikuwa najiuliza hiki kituo cha tehama kikoje?
😂😂😂maamaq.kumbe wamejenga wenyewe basi sawaWengi wa waliokwisha tangulia kuweka comments zao wanaruka kuzisoma kwa uzuri hizi paragrafu mbili...