Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
Serikalini bora kutumia utaratibu huo huo wa miaka mitatu mitatu vingnevyo kutakuwa na bias maana maeneo mebgi hasa Halmashauri wazugaji wengi hivyo utashitukia kuna watakaopandishwa mshahara sio walengwa...vinginevyo wawe wanapandisha kwa kuangalia inflation (yaani wawe wanafanya inflation adjustment kila baada ya miezi 6 au mwaka)Wanatafuta namna ya kukimbia jukumu.
Term hii sheria na kanuni zimekanyagwa na bahati mbaya wenye nafasi ya kuwapazia sauti nao wapo chini ya uvungu