McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,388
- 7,551
Kwa ivi vigezo ni vipya yeye na sisi wote tufunge midomo tumuache dereva wa lori atie gia tu hana uwezo wala mamlaka ya kuamua jambo ambalo kalizungumza tena namkumbusha hicho kiherehere chake atajikuta watoto wanashindwa kwenda chooni