#COVID19 Serikali yatoa angalizo maambukizi mapya ya Corona

Haa haaa just haa haa.. Samia acha kujidharirisha kwa pesa za MABEBERU.
Tunaleta taharuki sasa kwa kua tunaitaka pesa ya Corona.. nawasipo tupa dollar tutafukia majeneza hewa kama Uganda. Hatupoi mpaka tuipate, DADADEKI..
Waafrika tunatia aibu sana.
 
Watanzania wana akili timamu, hawawezi kukubali kudungwa hayo machanjo toxic.

Watakaodungwa ni nyumbuh kama wewe mnaozurura mitandaoni bila dhima maalumu.

Huku mtaani mambo ni tofauti saanaa!!

Wenye akili timamu ndiyo wale mburumundu wa kijani?

Kwani hata kuna haja ya kutoleana macho? Nyie wenye akili timamu mnaodhurura mitandaoni mkiwa na dhima (yaani masungu sungu, miboda boda, mipiga debe, mi vibaka vibaka na wanamna hiyo - wanyonge wa awamu ile) bakini na m@vi yenu. Ila sisi tutachanjwa hapa hapa tena kwa heshima na taadhima. Bila ya shaka yoyote, wakiwamo pia kina Mama Samia, Dr. Mpango, Kassim Majaliwa na waungwana wengine.

Mna nini mburumundu nyie cha kumwambia nani? Danganyanyeni wenyewe kwa wenyewe huko huko vijiweni mwenu.


Hiyo ndiyo habari yenyewe.
 
Kuna watu wangependa tupate wimbi la tatu na wanalingoja kwa hamu sana wapate kitu cha kuzungumza! Mungu alishatuponya na corona!! Tahadhari tunaendelea kuchukua! Ila nchi zingine za kiafrika zinadanganya kuwa kuna wimbi la tatu ili wapate mkopo!!! Akili zingine hapa Afrika wala huwezi kuzielewa! Isitokee hapa kwetu!!
Mawazo ya kijima haya.
 
Acha kueneza conspiracy theory. Uganda wamechanywa chini ya 1%. Hakuna vaccines za kutosha. Nchi ambazo zimechanja wengi km USA, Israel, maambukizi yamepungua sana. Wanaolazwa wengi wao ni vijana ambao hawajachanjwa.
Vijana ndio wanalazwa kwa corona?
 
Kwani hata kuna haja ya kutoleana macho? Nyie wenye akili timamu mnaodhurura mitandaoni mkiwa na dhima (yaani masungu sungu, miboda boda, mipiga debe, mi vibaka vibaka na wanamna hiyo - wanyonge wa awamu ile) bakini na m@vi yenu. Ila sisi tutachanjwa hapa hapa tena kwa heshima na taadhima. Bila ya shaka yoyote, wakiwamo pia kina Mama Samia, Dr. Mpango, Kassim Majaliwa na waungwana wengine.

Mna nini mburumundu nyie cha kumwambia nani? Danganyanyeni wenyewe kwa wenyewe huko huko vijiweni mwenu.


Hiyo ndiyo habari yenyewe.
Weweeeee...... hachanjwi mtu hapa!

Wananchi wameamka balaa, ukiwaletea habari za chanjo watakupasua vibaya.

Maana ile kitu wameambiwa na Dokta Mkemia Magufuli imenata mpaka kwenye mifupa yao na wameelewa somo kupitiliza.

Kama ni maksi, basi tunasema wamepata A plus.

Nyinyi vinyangarika wa mtandaoni mnaolilia machanjo yenye sumu, maoni yenu yanaishia kwenye servers tu.

Kama mmekula pesa za wazungu, ni bora mzitapike kabla hamjachelewa.

Kiufupi hamuonekani wala hakuna anayewasikiliza kwa sasa.

Tuko bize tunachapa kazi.
 
Weweeeee...... hachanjwi mtu hapa.

Wananchi wameamka balaa, ukiwaletea habari za chanjo watakupasua vibaya.

Maana ile kitu wamelishwa na Magufuli imeganda mpaka kwenye mifupa yao na wameelewa somo kupitiliza.

Kama ni maksi, basi tunasema wamepata A plus.

Nyinyi vinyangarika wa mtandaoni mnaolilia machanjo yenye sumu, maoni yao yanaishia kwenye servers.

Kiufupi hamuonekani wala hakuna anayewasikiliza kwa sasa.

Tuko bize tunachapa kazi.

Chanjo ni suala la hiari. Nisichanjwe mimi na wapendwa wangu kwa sababu ya mi sungu sungu, vibaka, mipiga debe au mijamaa ya namna hiyo isiyoelimika kuwa ndiyo inasema hivyo?

Thubutu! Mbona patachimbika? Kumbe hamtuelewi.

Palikuwa na uzi wenye kuwahusu hapa:


Kwenye hao wanyonge wewe ni kundi gani hapo?
 
Chanjo ni suala la hiari. Nisichanjwe mimi na wapendwa wangu?
Wapendwa wako ni wepi hao?

Hao mabaahasha zako ndo wapendwa wako?

Kama wewe na bahasha wako mnapenda chanjo haina tabu. Mkadungwe tu.

Lakini sisi tuko bize mno. Tunachapa kazi na tumeshasahau habari za sijui corona.

Hizo habari za corona huwa nazisoma kwenye TV na kwa machokoraa wa mitandaoni tu kama wewe msio na ajira inayotambulika.

Huku mtaani watu hawajui hata maana ya corona. Wako bize wanasaka pesa na kuchakarika balaa.

Haya maoni ya machokoraa wa mitandaoni kuhusu corona ni maoni hafifu sana. Hayana uzito wowote ule na tumeshayapuuza kabla hata ya kuyasoma.
 
Serikali ya Tanzania imesema kuna viashiria vya wimbi la tatu la ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona kuingia nchini kutokana na nchi jirani wananchi wake kuzidi kupata maambukizi ya ugonjwa huo.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi Juni 19, 2021 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) mkurugenzi wa kinga wa Wizara ya Afya, Dk Leonard Subi ametoa maagizo kadhaa likiwemo la kuwataka wananchi kuvaa barakoa.

“Wizara inawakumbusha wananchi wote kutopuuza ugonjwa wa Covid-19. Wizara imeanza kuona viashiria vya kutokea kwa wimbi la tatu la mlipuko wa ugonjwa huu katika nchi yetu.”

“Hii ni kutokana na taarifa za ufuatiliaji wa mwenendo wa ugonjwa huu zinazofanywa na wizara na mwingiliano kati ya watu wetu na mataifa mengine,” amesema Dk Subi.

Amesema idadi ya wagonjwa wanaokutwa na vizuri vya corona barani Afrika imeongezeka ndani ya wiki tano mfululizo zikiwemo nchi jirani na Tanzania, “maambukizi yanaongezeka maradufu kuliko ilivyokuwa wimbi la pili.”

Katika maelezo yake amewataka wananchi kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kutumia vitakasa mikono na kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni.

Chanzo: Mwananchi
Dah
R.i.p JPM...
 
Acha kueneza conspiracy theory. Uganda wamechanywa chini ya 1%. Hakuna vaccines za kutosha. Nchi ambazo zimechanja wengi km USA, Israel, maambukizi yamepungua sana. Wanaolazwa wengi wao ni vijana ambao hawajachanjwa.
Vijana ndio wanalazwa kwa Corona?!

Huko ulaya wamechanjwa lakini bado wanaogopa watu wao wasitoke kwenda mataifa mengine, au wakirudi wawekwe karantini, UEFA Final iliyokuwa ichezwe Uturuki ikahamishiwa Ureno kisa Uturuki waliita iko kwenye "red list", sasa kama wamechanjwa waliogopa nini kwenda Uturuki?
Waliochanjwa wako hapa:


Uganda wala Kenya hawajafika kiwango cha kuitwa wamechanjwa. Danganyeni wale wanyonge wakiwamo sungu sungu kwenye list.
Jibu la kubahatisha tu, hata huko ulaya walikochanjwa kwa asilimia kubwa bado wanaiogopa Corona, haiwezekani uchanjwe halafu bado uje na habari za karantini.
 
Hakuna nchi ya kiafrika inayoweza kuchanja zaidi ya asilimia 20 ya watu wake! Hivyo hiyo chanjo haiwezi kutupatia herd immunity inayotakiwa kutukinga na corona ambayo ni kuchanja asilimia 70!! Matumizi ya chanjo kwa hiźi nchi zetu ni kusaidia kuchanja wale ambao wanalazimika kusafiri nje ya nchi ili waruhusiwe na nchi wanakokwenda, fullstop! Hakuna cha kinga wala baba yake na kinga! Ni faida9 kwa mabeberu maana yanapiga pesa ndefu!! Ni biashara ya kulazimishwa na viongozi wetu wanajua!! Kwa masikitiko makubwa sana ni viongozi adimu sana wenye ubavu wa kuwaambia mabeberu hapana!
Njia nzuri ya kujilinda baada ya kumtanguliza Mungu ni kunawa mikono mara kwa maji kwa kutumia maji tiririka, kutakasa mkono mara kwa mara kwa kutumia sanitizer yenye alcohol 70%. Kujièpusha na misongamano ni muhimu. Lakini hili la barakoa ni kujipa ujasiri batili tu!
Asante, umeiweka kitaalamu zaidi, most of us tunajitutumua na chanjo ya Corona simply ili tufanane na wazungu tu, nothing else.
 
Huko ulaya wamechanjwa lakini bado wanaogopa watu wao wasitoke kwenda mataifa mengine, wakirudi wawekwe karantini, UEFA Final iliyokuwa ichezwe Uturuki ikahamishiwa Ureno kisa Uturuki waliita iko kwenye "red list", sasa kama wamechanjwa waliogopa nini kwenda Uturuki?Jibu la kubahatisha tu, hata huko ulaya walikochanjwa kwa asilimia kubwa bado wanaiogopa Corona, haiwezekani uchanjwe halafu bado uje na habari za karantini.
Machanjo ya kisanii haya.

Yaani mtu udungwe chanjo lakini bado corona ikuandame?

Maana ya chanjo ni nini sasa?
 
Back
Top Bottom