Serikali yasitisha mafunzo ya JKT

Serikali yasitisha mafunzo ya JKT

kwan kuna ulazma gan kwenda hiko kama. ni uzalendo mbona wazee walioptia huko ndo mafisad wa taifa letu hakuna haja bhana
 
nchi haina visions....hawana malengo endelevu..watu wanaokaa na kuandaa developments strategy wanatazama chini ya miguu yao na sio mbele....
Hawezi kupredict kinachotokea 5 to come....
wanatoa ushauri wenye mawazo finyu ambayo mtu anakurupuka na wazo lake...tulete mradi , tuanzishe hili.....hakuna vision kabsaa.....

Ni Sawa Sawa na kumvalisha mtoto chupi hadi magotini afu wakati huo huo unamvalisha sketi....
kazi ipo hapa.....
 
Haya ni mafunzo ya kipuuzi sijapata kuona.
mtu anatarajia kusomea IT unaenda kumfundisha kulima kwa jembe la mkono

Boro na wewe umeona mwezangu. Me nimeshayapinga vijana wetu kwenda kuyafanya. Nimeomekama sina maana mtani kwetu.
 
Hv kumbe na huko walikuwa wanalipia ada? Mi nilijua ni bure.

Hawalipi, ni bure. Ila alicho maanisha kuw bajeti iliotumika kuwaeka kamba (chakula, malazi nk), ingeenda bodi mikipo.
 
nchi haina visions....hawana malengo endelevu..watu wanaokaa na kuandaa developments strategy wanatazama chini ya miguu yao na sio mbele....
Hawezi kupredict kinachotokea 5 to come....
wanatoa ushauri wenye mawazo finyu ambayo mtu anakurupuka na wazo lake...tulete mradi , tuanzishe hili.....hakuna vision kabsaa.....

Ni Sawa Sawa na kumvalisha mtoto chupi hadi magotini afu wakati huo huo unamvalisha sketi....
kazi ipo hapa.....

Umenena vema, tatizo kubwa ktk hii nchi policy analysts wanapuuzwa matokeo yake sera zote znaonekana mbovu. Utekelezaji mbovu, usimamizi mbovu na hii inapelekea sisi wananchi kutambua kuwa hakuna visions zilizokuwa targeted kwa ajili ya maendeleo ya hili taifa. Kila tunapotathmini sera za umma tunaona udhaifu na kushindikana ktk utekelezaj wa vipau mbele.

Tanzania inakufa kwa sababu za kipuuzi tu, ulafi, wizi na kutumia raslimali za taifa kama miradi binafsi. Tumechoka na huu uzalendo, tunataka mabadiliko.
 
Serikali imegundua kuwa kwa hali siasa na tatizo la ajira inaanda watu ambao wanaweza wakabeba silaha zidi yake endapo watakosa ajira na kuanza kwa makundi ya kudahaki kwa nguvu
 
smartone
inatakiwa ifike mahala...waweke siasa pembeni....wachukue watu wa mipango wawapangie namna ya kutumia hizo resources...

Hao vijana waliosema wanaepelekwa jeshini kufundishwa uzalendo na nidhamu ...hakuna kitu walichobadilishwa ...wako wamejaa kwenye vyuo vikuu wamenyoa VIDUKU vya kutosha...
Hakuna nidhamu wala nini....Mtu unasoma civil engineering afu Una kiduku...who will trust you as an engineer?

huo mradi wa jkt nchi imejikaanga kwa mafuta yake...
 
Last edited by a moderator:
Hv kumbe na huko walikuwa wanalipia ada? Mi nilijua ni bure.

ada hawajalipa lakin ukiangalia hela ilyotumika kuwalisha kwa miez mitatu, kuwanunulia mavaiz ya kuvaa kambini, nauli walizopewa kwenda na kurud nyumbani na pesa waliokula maafsa katk program hyo, ukipga hesabu ya kambi tz basi hyo pesa ingepelkwa loan board naamin ingesaidia sana ktk suala la mikopo
 
Si walitaka Vijana wawe Wazalendo? Eti wanaandamana kudai maslahi ya nchi yao kwa sababu sio Wazalendo, Pumbafu zao kabisaaaa
 
Serikali imesitisha mafunzo ya JKT kwa mwaka huu. Kwa hiyo wale vijana waliokua wanategemea kuanza mafunzo hayo mwezi wa pili mwaka huu,mafunzo hayo hayatakuwepo tena.

Sababu ya kusitisha mafunzo hayo ni ukata unaoikabili serikali,serikali haina hela kwa ajili ya mafunzo hayo.


Chanzo:Gazeti la Jamhuri.
 
Huyu sijui anazungumzia serikali gani tangu lini serikali ikafirisika?
utajidhalilisha bure kama hujui kitu nyamaza. Kwa kukumbusha hebu safirisha ubongo wako mpaka ugiriki.
 
serikali haina hela hahahaha dah serikali hii inaanzishaga programu lakini haziendelei kisa fedha..
uongozi wa jk vituko kweli
 
Serikali imesitisha mafunzo ya JKT kwa mwaka huu. Kwa hiyo wale vijana waliokua wanategemea kuanza mafunzo hayo mwezi wa pili mwaka huu,mafunzo hayo hayatakuwepo tena.

Sababu ya kusitisha mafunzo hayo ni ukata unaoikabili serikali,serikali haina hela kwa ajili ya mafunzo hayo


Chanzo: Gazeti la Jamhuri.

Wakati nikiwa mtoto nilitamani sana kuwa mwanajeshi, polisi au jeshi la magereza.

nilianza kufanya mazoezi yakutosha nikiwa na miaka 12 na nilipofikisha miaka 17 nilipata kituo cha mfunzo ya gumi pamoja na mazoezi yakunyanyua vitu vizito lengo langu kubwa ni kwenda jeshi.

nilipofika umri wakenda jkt nilisota bila mafanikio kitu kilichonifanya niweze kujikita katika shughuli za ufungaji na kilimo wakati huo niko kijana mwenye nguvu za ajabu.

kwa sasa hata kwa bunduki siwezi kwenda polisi, jeshini n.k
 
  • Thanks
Reactions: jme
Waliotaka hili jambo lifanyike washafanikisha malengo yao. Hongereni sana. Naamini mtakuwa mmeshanufaika kwa yale matarajio yenu. Zabuni za kupeleka vyakula, Gun boot, magwanda nikiwa na maan ya uniform hizo mtakuwa mmekwenda pasu kwa pasu kama watoto wa mjini wanavyosema.

Next wahitimu wa kidato cha nne na sita watakiwa wakajifunze kilimo kwanza naamin hapo pembejeo za kilimo mnigawie nami zabuni hata ya kusambaza mbegu tu ili muone uchapakazi wangu nami katika kunufaisha taifa.

Maaana huwezi nufaisha taifa kabla hujajinufaisha we mwenyewe.

Big up mazee....!
 
walikuwa wanafanya mambo ya ajabu sana mtu mnahangaisha kwenda JKT halafu akitoka huko eti unamwambia Amekosa mkopo!! Sasa hiyo hela unayopotezea JKT Si ungeongezea Loan Board???

Kwani kaka walikuwa wanalipa ada..??
 
Wakati nikiwa mtoto nilitamani sana kuwa mwanajeshi, polisi au jeshi la magereza.

nilianza kufanya mazoezi yakutosha nikiwa na miaka 12 na nilipofikisha miaka 17 nilipata kituo cha mfunzo ya gumi pamoja na mazoezi yakunyanyua vitu vizito lengo langu kubwa ni kwenda jeshi.

nilipofika umri wakenda jkt nilisota bila mafanikio kitu kilichonifanya niweze kujikita katika shughuli za ufungaji na kilimo wakati huo niko kijana mwenye nguvu za ajabu.

kwa sasa hata kwa bunduki siwezi kwenda polisi, jeshini n.k
mkuu ccm imeharibu mfumo mzima wa jkt na polisi
 
Hapa kuna intake mbili za JKT zilizokuwa zinategemewa mwaka huu, za wale wa kujitolea na wale wa kwa mujibu wa Sheria. Je, ni mafunzo ya wote yameahirishwa? Au ni kwa mujibu wa sheria tu?
Maana tovuti ya JKT ilizungumza mapema sana kuwa mafunzo ya mujibu wa sheria ndo yamesitishwa kwa muda.
 
Back
Top Bottom