Serikali yasitisha mafunzo ya JKT

Serikali yasitisha mafunzo ya JKT

Attachments

  • 1422520811965.jpg
    1422520811965.jpg
    58.9 KB · Views: 415
Labda, Sababu ni kuwa mafunzo ya JKT hayajaisaidia CCM kwenye chaguzi za serikali za mitaa kama walivyodhani.

Kuendelea kuwafunza hawa watawamudu na kuwaaibisha polisi kwenye uchaguzi mkuu.
 
ujinga wa pili huo
wewe ndio uache kusema vitu bila reason.kina watu wanaishi maisha magumu huku chuo .hawana mikopo.na wengine wanamikopo nusu bado hawawezi kujilipia.sasa yaanini serijaliifanye allocation JKT wakati haohao wanafunzi wakitoka jkt wanapata shida chuo?ni bora hizo hela zitumike kuwapa mikopo wanafunzi.pia jkt kwa sasa tumekurupuka.maana matatizo y kielimu bado ni makubwa .na uzalendo ni jukumu la mmojaa.mbona wazee wetu walikaa jkt mwaka mzima lakino hao ndio mafisadi wengi wao.
jenga taifa lenye elimu kwanza.ifuatiww na kuimarisha sasa /jkt.
 
Back
Top Bottom