Huyu sijui anazungumzia serikali gani tangu lini serikali ikafirisika?
ikafilisika na siyo firisika
badili kauli mkuu
Huyu sijui anazungumzia serikali gani tangu lini serikali ikafirisika?
Ni mtu mwoga na mjinga pekee ndiye asiyependa mafunzo ya JKT. wale wote waliochangia kuunga mkono kuwa yafutwe hakika wameonyesha ujinga uliobobea. Wakati vijana wengi wanatamani kwenda huko na wana ari ya kuendelea kubaki huko ninyi mnakuja na uzi wa kutaka mafunzo yasitishwe....:confused3::confused3::confused3:
Ni mtu mwoga na mjinga pekee ndiye asiyependa mafunzo ya JKT. wale wote waliochangia kuunga mkono kuwa yafutwe hakika wameonyesha ujinga uliobobea. Wakati vijana wengi wanatamani kwenda huko na wana ari ya kuendelea kubaki huko ninyi mnakuja na uzi wa kutaka mafunzo yasitishwe....:confused3::confused3::confused3:
Serikali imesitisha mafunzo ya JKT kwa mwaka huu. Kwa hiyo wale vijana waliokua wanategemea kuanza mafunzo hayo mwezi wa pili mwaka,mafunzo hayo hayatakuwepo tena.
Sababu ya kusitisha mafunzo hayo ni ukata unaoikabili serikali,serikali haina hela.
MAONI YANGU. Mafunzo haya ya JKT yapigwe marufuku kabisa na yafutwe maana hayana faida yoyote wala tija katikaTaifa hili. Binafsi natamani serikali ifilisike kabisa ili isiweze kufadhili mafunzo hata tena.
Chanzo: Gazeti la Jamhuri.
Mafunzo yaendelee tuzalishe panya road wengi tu
Ushenzi unaofanyika huko sitaki hata siku moja kusikia mwanangu au mdogo wangu wa kike aende huko.
JKT ni UPUUZI.
Serikali imesitisha mafunzo ya JKT kwa mwaka huu. Kwa hiyo wale vijana waliokua wanategemea kuanza mafunzo hayo mwezi wa pili mwaka,mafunzo hayo hayatakuwepo tena.
Sababu ya kusitisha mafunzo hayo ni ukata unaoikabili serikali,serikali haina hela.
MAONI YANGU. Mafunzo haya ya JKT yapigwe marufuku kabisa na yafutwe maana hayana faida yoyote wala tija katikaTaifa hili. Binafsi natamani serikali ifilisike kabisa ili isiweze kufadhili mafunzo hata tena.
Chanzo: Gazeti la Jamhuri.