Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
jirani yangu kamaliza form 6 kaingia huko, baada ya mafunzo kapewa ahadi hewa ya ajira, sasa hivi amejiajiri kwa mafunzo husika mtaani watu wanaibiwa mchana kweupe.
Juzi huko Tanga Polisi wa pikipiki wamenyanganywa SMG mbili na risasi kadhaa baada ya kuchapwa makofi ya kutosha sana na wababe hao walifanya shughuli hiyo wakiwa na kisu tuu.
Nadhani hao watakuwa wale waliopelekwa JKT kwa mujibu wa sheria lakini wameshindwa kwenda vyuoni kwa vile Bodi ya mikopo imewaambia haina pesa na bahati mbaya familia zao hazina uwezo. Sasa wanatumia mafunzo yao kujikimu.