Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 5,596
- 11,440
hii ni ile meli mpya mv.Mwanza sio ile kukuu ya mv.Victoria.Huu upotevu mkubwa wa fedha za umma kukarabati meli mbovu na ya kizamani kama hii! Pia ni upotevu wa ajabu kujenga daraja la Kigogo-Busisi, bilioni 700?!!! Si tungejenga kilometer 700 za lami safi kutoka Moshi hadi Bukoba?
nchi yetu hii upigaji ni kila sehemu tu,umeona juzi mabehewa ya mtumba yamenunuliwa kuzidi bei ya mabehewa mapya!.