Lau Mbado anaishi kwenye Nyumba za Mawaziri... Kwanini hawamtoi?
...Tanzania ..Tanzaniaaaaaa... nakupenda kwa moyo woooteeee... Nchi yangu Tanzaniaa... Jina lako ni tamu sanaaa... Nilalapo nakuwaza wewe.....Niamk..... Malizieni basi wadau...lol
.
Lol!!! nadhani angekuwa karibu ungemnasa kibao!Siku hiyo nilighabika sana.Waziri mkuu bogus kupita maelezo na serikali bogus.Waziri mkuu kwa nafasi yake haiwezekani asijue kwamba kuna mawaziri wanaoishi hotelini. Kama kweli alikuwa hajui basi hatuna mtu pale.Angalia na jibu lake la kejeli 'nimesikia',kudadeki! si aliulizwa huko ndio kupunguza matumizi? Amesikia nini? pambaVUU!!!
mkuu hisia kali huyu jamaa siyokwamba anazidisha siasa,anazidi kuwa muongo hana aibu kabisa,namsubiria wiki ijayo kama atajirekebisha kama haewezi atakuwa anatumia kiburi cha wanamagamba e.g mramba -hata watanzania wakila nyasi ndege ya rais itanunuliwa,msuya-kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe.mkulo-kila mtu atakula kwa jasho lake mwenyewe,mkapa mtaji wa maskini nguvu zake mwenyewePinda anazidisha siasa sana kwenye majibu yake.
Done mkuuDo me a favour and Put some paragraphs Buddy
Anyway. msg sent thanks makerubiDo me a favour and Put some paragraphs Buddy
thanx kaa la motoAnyway. msg sent thanks makerubi
Za mwizi arobaini. TAFAKARIHii ndio Tanzania yetu tuliyo haidiwa maisha bora kwa kila mtanzania na Tanzania yenye Neema inawezekana!! oooooooooooyeeeeeeeeeeeeeeeeeee