Serikali yafanya kufuru, Yatumia milioni 50/- kumlipia Waziri Hoteli

Waziri MKuu Kilaza, toka zama tunasema Mtoto wa MKulima ni MPOMPOMPO!
 
Kuna baadhi ya MAWAZIRI wanaona ni haki yao kabisa kwa Tanzania Hii Kuishi Kifalme; KUJENGA NYUMBA YA NZURI TU YA KIWANGO CHA KAWAIDA HAIZIDI 150M, LAKINI KUWA WAPUMBAVU WATAZIKATAA, WANATAKA MAHEKALU! TANZANIA INAONGOZWA NA MPOMPOMPO TU!
 
Taifa letu halina vipaumbele,waziri mkuu hajui jambo kubwa kama hili.as a Nation Where are we heading to?
 
hivi hata huyu mhe. Nahodha hana uchungu na hizo hela za serikali. Hana macho na masikio ya kuona na kusikia jinsi watanzania wanavyoteseka? Askari wa jeshi la polisi ambalo liko chini ya wizara yake wanaishi maisha ya taabu wakati waziri wao anaishi kwa anasa kubwa hotelini.
 
Hayo ndio matokeo ya kugawa nyumba za serikali.... kwa taarifa yenu ile nyumba iliyopo Lithuli kitalu namba 1 nayo itauzwa kwa anayeishi humo kwa wakati huo ifikapo septemba 2015
 
This indicates the degree of our administration's impotency. Mtu aliyetemwa uwaziri ataombaje muda wa kujipanga kwa kuendelea kuishi kwenye nyumba ya waziri kwa gharama ya 50m monthly kwa mlipakodi?
 
Serikali yetu iliuza nyumba chini ya utekelezaji wa Magufuli ili tuje tuishi hotelini!! Mambo mazuri Tanzania yetu nzuri bwana!!
 
Kweli chadema wako makini. yaani mpaka huu ufisadi wa serikali kupitia mawaziri inaujua! viva chadema.
 
kama nyumba hazitoshi mh. Nahodha ataishi hotelini hadi lini? ni vema kama nyumba hakuna atafutiwe hoteli nyenye hadhi ya chini huku hizo pesa tukizitumia kujenga nyumba!
 
maskiniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, watanzaniaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!! dahhhhhhhhh inauma kweli!
 
Hizo pesa kama wangejenga nyumba inelikuwa tayari imeezekwa inasubiri finishing. Tunatumia akili za namna gani watanzania? Lowasa hakukosea aliposema hatuna maamuzi kwenye mambo ya maana.CCM ni vichwa wazi. Mlilogwa na nani?
Unachafua hali ya hewa unapomtaja huyo pacha EL! Hivi maamuzi magumu ndio mambo ya Richmond?
 
Mil 50 ingejenga zahanati 2.

Kwa mda wote aliokaa hotelini hizo hela zingetosha kumaliza uhaba wa madawati kwa shule zetu za msingi kwa ukanda wote wa pwani.

Serikali haiko makini kabisa kauli ya Pinda inajidhihirisha wazi, sijui tunakoenda. Kuitoa serikali madarakani 2015 inawezekana kabisa ila cha kuhofia ni haya mataifa ya nje wanaoitumia CCM kutuibia madini yetu na rasilimali zingine huku wanaCCM wachache wakinufaika na asilimia kumi.

Lakini kilio cha mnyonge kitasikizwa siku moja,hao wanaotumia vibaya madaraka watalia na kusaga meno ya.

Unacheza wewe...kama milioni 70 ilijenga choo tu....mil 50 si ni malipo ya mafundi na hawajaanza kazi hapo!!!lol
I love Tanzania..
 
Kwa kweli sijui wakati mwingine Waziri mkuu wetu Pinda anakuwaje, au ndivyo alivyo? au anafanya makusudi? kujifanya hajui kinachoendelea? tumuweke kundi gani? kila kitu kinachoendelea serikalini yeye kwake ni kigeni, inashangaza sana na inasikitisha sana Serikali hii, Waziri Mkuu kushindwa kujua kinachoendelea kwenye Serikali.

Tusubiri mwisho wake.

Labda tujiulize Pinda alitokea wapi (experience yake) inawezekana yeye anaona anatoa majibu sahihi na inawezekana nashangaa kwanini hatuoni yeye anavyoona.
 
toka mwanzo nilisema pinda ni bogus....kukaa ikulu miaka yote kumemharibu sana...mzee mzima hana maamuzi ya maana yupo yupo tu........kazi kwenda kweny vi mikutano visivyo na tija.......milion 50 kila mwezi hii ni ajabu sana
 
Hivi huyu ..they so called nahodha anafanya kazi gani hapa tz.....zaidi ya uwa fix cdm
 
Nitafarijika sana watanzania tukiacha hii tabia ya kulaumu tulipoangukia, badala ya kujiuliza tulijikwaa wapi?... Hii hali isingeweza kutokea kama
uuzwaji/ugawaji wa nyumba za serikali usingefanyika na serikali ya awamu ya tatu. Badala ya kuendelea kulalamika, nashauri kila mmoja wetu amuandikie mbunge wake aki demand urudishwaji wa mali ya umma kwa wenyewe watanzania.
 
400 millioni zimeteketea kumlipia Waziri Vuai tangu ateuliwe kuwa waziri wa Mambo ya ndani. Kumbuka 50 millioni ni kwa mwezi mmoja tu kadiri ya kumbukumbu za hotelini. Hapo bado gharama ya chakula ni baki, na kuwakimu wageni wake ndo usiseme, haya magamba mwaka huu yatakoma ubishi.
 
Si bora wangekuwa wanamlipia Ticket ya ndege kwenda na kurudi zenj kila siku kwa ndege ? Ingawa hata hiyo nayo mhhhh kweli tuna watawala sio viongozi.
 
Back
Top Bottom