Serikali imetoa mwongozo wa viwango vya ufaulu ambao unaonesha kuwa Kidato cha sita waliomaliza mtihani wao leo tarehe 21/05/2014 watapangiwa matokeo kwa kutumia mfumo wa alama zilizotumika Kidato cha Nne 2014 zenye A, B+ C, D, E na F. Tofauti na miaka iliyopita E itamaanisha kufeli na siyo principal pass tena.
GPA ya 3.15 si sawa na 3.2 bali ni 3.1. Hawa naafisa waelimu wetu hawastahili kazi hio.
Pia wanadhalilisha taaluma, 3.6 haiwezi kuwa distinction...too low. Did they get distinction in their colleges or just passers! Pweyh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.