Serikali yaanza uchunguzi wanafunzi kufundishwa ulawiti

Jamaa si wameona fursa ya hela. Yaani Hawa jamaa wangeongoza nchi nadhani wangetuuza watanzania ujue. Ni Bora Marealle waingereza hawakumpatia Uhuru mpaka nyerere alivyoenda akapewa. Nadhani kwa pia ya low iq ya kuwaza kikabila. Watu wanawaza namna ya kuitawala dunia yeye anawaza Uhuru wa kabila lake pekee so wakamuona hamnazo kabisa. Usomi wa bure
Unasumbuliwa na chuki na wivu,
 
No Kuna chuki chunguza utaona

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu kama hicho....hakuna mtu anachukia kabila zima la mtu...


Mtu anaweza kuwa anakerwa na tabia zenu tu lakin sio kuwachukia.....



Halafu wachaga mna haya mambo ya kupenda sympathy na kuonesha kuwa mnaonewa na hampendwi kùmbe nyie ndo hampendi watz wengine...

Mnakumbuka mnasema magufuli alikuwa hapendi wachaga...lakin mkiambiwa mtoe proof haipo...yaan mtu hawapendi halafu aifufue reli ya kasikazini, ajenge daraja la wami nk nk...
Angewatukana je..kama alivyowatukana watu wa bukoba na matetemeko?


You feel insecure...au kutakuwa kuna vitu mnavifanya sio halali...mnajihisi hatia...so mnatafuta sympathy...
 
Hivi vitu wanaiga kutoka huko kwa wenzetu. Na ikibainika haya mambo Yana ukweli basi naishauri Serikali ifanye kama alivyo fanya Mwalim Nyerere kuzitaifisha ziwe Mali ya Serikali kuliko hichi kizazi Kinacho tengenezwa.
 
Yale yale kama ya kipindi kile cha ubakaji.

Kuna shida mahali kwa sababu hizi taarifa zinakuwa zinaripotiwa na chombo kimojo tu cha habari. Kwa nini hizi taarifa haziripotiwi na TBC? TBC huwa hawazipati? Na kama huwa hawazipati, kwa nini?
Umeona mbali saana. Soma post zangu hapo. It is still a hidden agenda!
 
Lisiishie huko iwe nchi nzima hasa shule za boarding wakachunguze, wanalifumbia macho waalimu ingawa wanajua

Huku kuna polisi kabaka mara 24 na amehukumiwa
Ila PM ameenda mbali zaidi na kuongea na mkuu wa police wachunguzwe polisi nchi nzima mmoja mmoja kama kuna yeyote kafanya uhalifu ila kajificha humo
Watu wanaojielewa hawa

Na sisi inabidi hata wakatazwe mashuleni na waliongelee hili na kuwakanya watoto ili wajue sio vizuri
 
Umeona mbali saana. Soma post zangu hapo. It is still a hidden agenda!
Hili swala mimi nimeshalilalamikia tangu kipindi kile cha wanafunzi kulawitiwa, halafu baadhi ya ,ashuhuda wa tukio wakawa wanaongea huku akiwa wamejifumika Kanga usoni. Ni mtanadao uko connected na watu wako mahali fulani napafahamu, wanatengeneza loopholes za kurusha mapepo

Juzi juzi tena wametengeneza tukio pale Buguruni, taka nyingi zilizopelekea kuja kuzolewa na Lori kubwa, zimeonekana nyumbani kwa mtu zikiwa zina miaka mingi wakati kwenye nyumba hiyo kuna wapangaji pia. Halafu cha kushangaza, TBC wao hawajawahi kuzipata taarifa hizi hata siku moja; zinapatikana kwenye chombo kingine tu, kwa nini? Kwa sababu TBC ni Serikali
 
Hakuna kitu kama hicho....hakuna mtu anachukia kabila zima la mtu...


Mtu anaweza kuwa anakerwa na tabia zenu tu lakin sio kuwachukia.....



Halafu wachaga mna haya mambo ya kupenda sympathy na kuonesha kuwa mnaonewa na hampendwi kùmbe nyie ndo hampendi watz wengine...

Mnakumbuka mnasema magufuli alikuwa hapendi wachaga...lakin mkiambiwa mtoe proof haipo...yaan mtu hawapendi halafu aifufue reli ya kasikazini, ajenge daraja la wami nk nk...
Angewatukana je..kama alivyowatukana watu wa bukoba na matetemeko?


You feel insecure...au kutakuwa kuna vitu mnavifanya sio halali...mnajihisi hatia...so mnatafuta sympathy...
Mkuu, na declare wazimimi ni Southerner. Ila kuna kitu hakiko sawa. Ukiangalia miziki inayorushwa na TV zote nchini ikiwwpo TBC, ni nje kabisa ya maadili ya Kitanzania. Ukisafiri kwenye mabasi ni the same eti ni ya kizazi kipya! Dar kwenyewe kuna maeneo yanasemekana ni special kwa watu kufanya ufuska, kujiuza nk tena watoto wadogo. Mwanza kuna sehemu kama Villa Park nk. Arusha nako ni yaleyale. Who cares!!!? Tunashangaa nini watoto wadogo kuiga uhovyo huo? Ningependa sana Waziri atakapohitimisha uchunguzi, waliokuwa trainers tupate asili na mrengo wao. It is ulikely hawatoki Kilimanjaro. Na endapo ni kweli kuwe na colllective effort uchunguzi ufanyike nchi nzima.
 
Huo ni ushirikina sio bure, shule ikigundulika ni kuifunga, kuna siku itaungua kishirikina. Kumbe kuna ufundi wa kufanya hayo mambo!
 
IMG-20230116-WA0002.jpg
 
Kama kweli shule hiyo inafanya vitendo hivo , tunaomba serikali wachukue hatua kali sana juu ya walimu na mmiliki wa shule hiyo ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia za namna hiyo.
 
Leo kuna Redio moja kanisa.moja walifanya maombi kama.nusu daa kulaani hizo shule na wahusikaaa

akaenda mbali zaidi.mch akasema miezi kadsa alienda babatii akakutana na.mch mwenzie akawambia ana jamboo la kumwambia anamsaidaje
Yeye akajua mzinga wa kawaida la.hasha

anasema kuna.mzungu amekuja kanisani kwao kama mwezi sasa aliposikia wana shida ya kununua. Kiwaanja cha.kanisa

mzungu akaomba faragha na mch wa babati akamwambia yuko tayari kulipa 150mil wawe na kiwsnjs kwa masharti amtafutie kijana mmoja mweupe.mle.mle kanisani awe kama bb yakeee

nilipata tumboo ya kuhara gafla...so Past w babati anamuuliza mwenzie nafanyaje niko kwenyee mtihanii duh....

akashauriwa amwsmbie mthungu asionekane tena hapo kanisani kws kuwa ungenge shuhuli mpk mkaliman...past wa dar akasubria jumapili mzungu kajaq kama kawaida baada ya misa anaulizia ombi lake mzee wa dar alimropokea. Anasema na amemwambia mda s8 mrefu na bbati atahamaaaaaaa

kunashidaa
 
Back
Top Bottom