Serikali ya Tanganyika itarudi? Tutaendelea kufunika kombe hadi lini?

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Oct 29, 2019
9,055
18,699
Ni kweli tuna zimwi liitwalo Muungano na halieleweki Wala kuandikika na linatugawa Kila kukicha tukafikia hatua tukalipaka rangi kuwa liitwe "KERO za muungano"!

Wazee wetu walioushuhudia muungano Kila kukicha wanatangulia na wao wameona Kuna tatizo kuu la huo muungano wenyewe kwetu Sasa na kizazi kijacho!

Chama changu ccm kimefumba macho, hakisikilizi hata wazee wetu kina warioba walifanya tatfiti zao na kuona Muungano utatuliwe kikatiba lakini kwa upofu wa kesho ya madaraka tunaendelea kufumba macho mambo yabaki yalivyo hasa wale conservative was chama ndio wanaturudisha nyuma!

Je kizazi kijacho kitakubali eti mzanzibari awe na serikali na mtanganyika asiwe nayo? eti mzanzibari awe na haki mbili na mtanganyika Hana haki yoyote, wajukuu zetu watatuelewa? vitukuu na vilembwe vitaelewa? CCM chama changu tutafunika kombe hadi lini?tutakumbatia matatizo Hadi lini?

Je mmeridhika na muungano unaokula pande mmoja na kummliza mwingine?

Kwanini hamtaki kujadili haha hadharani yakafanyiwa kazi?

Kama tumeamua kuungana basi tuwe na serikali Moja tu kama Zanzibar ina serikali basi Tanganyika ya kwao Iko wapi?

Kama Zanzibar ina serikali Mimi naitaka Tanganyika yangu, kama mnataka muungano basi uwepo was serikali Moja kuliko huu wa kinyonyaji!

Nimeandika yangu fanyieni kazi,

Mawazo huru ya mlipa kodi na mawazo hayapigwi rungu!!

Tujitafakari!
 
Ni kweli tuna zimwi liitwalo Muungano na halieleweki Wala kuandikika na linatugawa Kila kukicha tukafikia hatua tukalipaka rangi kuwa liitwe "KERO za muungano"!

Wazee wetu walioushuhudia muungano Kila kukicha wanatangulia na wao wameona Kuna tatizo kuu la huo muungano wenyewe kwetu Sasa na kizazi kijacho!

Chama changu ccm kimefumba macho, hakisikilizi hata wazee wetu kina warioba walifanya tatfiti zao na kuona Muungano utatuliwe kikatiba lakini kwa upofu wa kesho ya madaraka tunaendelea kufumba macho mambo yabaki yalivyo hasa wale conservative was chama ndio wanaturudisha nyuma!

Je kizazi kijacho kitakubali eti mzanzibari awe na serikali na mtanganyika asiwe nayo? eti mzanzibari awe na haki mbili na mtanganyika Hana haki yoyote, wajukuu zetu watatuelewa? vitukuu na vilembwe vitaelewa? CCM chama changu tutafunika kombe hadi lini?tutakumbatia matatizo Hadi lini?

Je mmeridhika na muungano unaokula pande mmoja na kummliza mwingine?

Kwanini hamtaki kujadili haha hadharani yakafanyiwa kazi?

Kama tumeamua kuungana basi tuwe na serikali Moja tu kama Zanzibar ina serikali basi Tanganyika ya kwao Iko wapi?

Kama Zanzibar ina serikali Mimi naitaka Tanganyika yangu, kama mnataka muungano basi uwepo was serikali Moja kuliko huu wa kinyonyaji!

Nimeandika yangu fanyieni kazi,

Mawazo huru ya mlipa kodi na mawazo hayapigwi rungu!!

Tujitafakari!
Well nguvu zipo kwenu nyie wananchi. Until mtakapo amka
 
Ni kweli tuna zimwi liitwalo Muungano na halieleweki Wala kuandikika na linatugawa Kila kukicha tukafikia hatua tukalipaka rangi kuwa liitwe "KERO za muungano"!

Wazee wetu walioushuhudia muungano Kila kukicha wanatangulia na wao wameona Kuna tatizo kuu la huo muungano wenyewe kwetu Sasa na kizazi kijacho!

Chama changu ccm kimefumba macho, hakisikilizi hata wazee wetu kina warioba walifanya tatfiti zao na kuona Muungano utatuliwe kikatiba lakini kwa upofu wa kesho ya madaraka tunaendelea kufumba macho mambo yabaki yalivyo hasa wale conservative was chama ndio wanaturudisha nyuma!

Je kizazi kijacho kitakubali eti mzanzibari awe na serikali na mtanganyika asiwe nayo? eti mzanzibari awe na haki mbili na mtanganyika Hana haki yoyote, wajukuu zetu watatuelewa? vitukuu na vilembwe vitaelewa? CCM chama changu tutafunika kombe hadi lini?tutakumbatia matatizo Hadi lini?

Je mmeridhika na muungano unaokula pande mmoja na kummliza mwingine?

Kwanini hamtaki kujadili haha hadharani yakafanyiwa kazi?

Kama tumeamua kuungana basi tuwe na serikali Moja tu kama Zanzibar ina serikali basi Tanganyika ya kwao Iko wapi?

Kama Zanzibar ina serikali Mimi naitaka Tanganyika yangu, kama mnataka muungano basi uwepo was serikali Moja kuliko huu wa kinyonyaji!

Nimeandika yangu fanyieni kazi,

Mawazo huru ya mlipa kodi na mawazo hayapigwi rungu!!

Tujitafakari!
Hoja zako ziheshimiwe na kila Mtanganyika mpenda Tanzania.
 
Ni kweli tuna zimwi liitwalo Muungano na halieleweki Wala kuandikika na linatugawa Kila kukicha tukafikia hatua tukalipaka rangi kuwa liitwe "KERO za muungano"!

Wazee wetu walioushuhudia muungano Kila kukicha wanatangulia na wao wameona Kuna tatizo kuu la huo muungano wenyewe kwetu Sasa na kizazi kijacho!

Chama changu ccm kimefumba macho, hakisikilizi hata wazee wetu kina warioba walifanya tatfiti zao na kuona Muungano utatuliwe kikatiba lakini kwa upofu wa kesho ya madaraka tunaendelea kufumba macho mambo yabaki yalivyo hasa wale conservative was chama ndio wanaturudisha nyuma!

Je kizazi kijacho kitakubali eti mzanzibari awe na serikali na mtanganyika asiwe nayo? eti mzanzibari awe na haki mbili na mtanganyika Hana haki yoyote, wajukuu zetu watatuelewa? vitukuu na vilembwe vitaelewa? CCM chama changu tutafunika kombe hadi lini?tutakumbatia matatizo Hadi lini?

Je mmeridhika na muungano unaokula pande mmoja na kummliza mwingine?

Kwanini hamtaki kujadili haha hadharani yakafanyiwa kazi?

Kama tumeamua kuungana basi tuwe na serikali Moja tu kama Zanzibar ina serikali basi Tanganyika ya kwao Iko wapi?

Kama Zanzibar ina serikali Mimi naitaka Tanganyika yangu, kama mnataka muungano basi uwepo was serikali Moja kuliko huu wa kinyonyaji!

Nimeandika yangu fanyieni kazi,

Mawazo huru ya mlipa kodi na mawazo hayapigwi rungu!!

Tujitafakari!
Tanganyika haiwezi kurudi kiuwepesi kwa sababu watu ambao sio watanganyika wameshika hatam kuanzia nyerere mpaka bibi wa kizmkazi
 
Pasco Mayalla anadai mnao dai Tanganyika hamna Elimu ya uraia,hivyo mnapaswa kupewa Elimu hiyo.

Hawa ndo wanasheria wetu tulio nao hapa Tanzania,ambao wako tayali kujifanya vipofu kwa ajili ya matumbo yao.

Kundi la G-55 lilikuwa na hoja muhimu ila sababu ya bwana yule kutopenda ushauri kinzani nje na fikra zake alikataa.
 
Pasco Mayalla anadai mnao dai Tanganyika hamna Elimu ya uraia,hivyo mnapaswa kupewa Elimu hiyo.

Hawa ndo wanasheria wetu tulio nao hapa Tanzania,ambao wako tayali kujifanya vipofu kwa ajili ya matumbo yao.

Kundi la G-55 lilikuwa na hoja muhimu ila sababu ya bwana yule kutopenda ushauri kinzani nje na fikra zake alikataa.
Pasco anajidhilalisha sana
 
Masisi emu ya tanganyika yalivyo manafiki na majinga hata kutamka neno tanganyika yanaogopa ila kutamka zanzibar yako proud,madafakaz
 
Ni suala la muda tu, Tanganyika itaja jitawala kivyake halafu itaendaaaa kisha itarejesha tena Muungano lakini kivingine
 
Back
Top Bottom