mwana wa mtemi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 374
- 204
kwa hiyo hata hao majambazi wanaoiba kila siku dar ni kutoka nchi jirani tu?hwao wanarusha mabomu na kumwagia watu tindikali ni wahamiaji haramu? Hivi waliowaua wale wafanyabishara wa mahenge walikuwa ni wahamiaji haramu? Na vipi polisi, magereza na jwtz wanaokamatwa na nyara za serikali?
mpotoshaji mkubwa wewe