Safi
 
Huyu maza ni mnyanganyi hana tofauti na mwenda zake
Bora mwendezake alikuwa ana nyanganya vitu tuna viona, huyu ameiga mfumo wa serikal ya awam ya 4 ya matumiz yanayozidi kipato, kwenye bajet yake bajet ya maendeleo ni ndogo na bajet ya matuzi ya kiofis ni kubwa, chai na vitafunwa, ukarabati wa ikulu Kwa billion 9 zimerud tena, semina , Safar za nje zimerud tena.
 
VAT ni ndogo Sana huwezi kwepa, Serikali kamatieni hapo hapo.Nyie mnaolia Lia kama vifaranga ukute hujawahi dai risiti yoyote toka umeanza kufanya manunuzi.
 
VAT ni ndogo Sana huwezi kwepa, Serikali kamatieni hapo hapo.Nyie mnaolia Lia kama vifaranga ukute hujawahi dai risiti yoyote toka umeanza kufanya manunuzi.
Ujajibu swali langu. Acha kuruka ruka.
Kwaiyo unataka kusema kuwa wameongeza kodi ya miamala ili kufidia magepu ya watu wanaokwepa kutoa lisiti? Hiv unaona hiyo n hoja ya kuisema mbele za watu wenye akili timamu?
 
Ujajibu swali langu. Acha kuruka ruka.
Kwaiyo unataka kusema kuwa wameongeza kodi ya miamala ili kufidia magepu ya watu wanaokwepa kutoa lisiti? Hiv unaona hiyo n hoja ya kuisema mbele za watu wenye akili timamu?
Ndio nimejibu hivyo.Hicho unachouliza ndio jibu lenyewe.Unataka haki ila hutaki wajibu wako,sasa utatimiza wajibu kwa njia hizo
 
Akiongeza taxation kwenye madini vipi?
 
Wataachia tu..., sio kwamba wataacha sababu wanawapenda wananchi bali sababu yale mapato watashangaa sio mengi..., LABDA tu kama wanataka kuua mfumo wa mobile money kwa kufanya watu watumie Bank

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…