Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
Bavicha bana wakiishapiga virobo wanaropoka tu.
Haya na wewe wa UVCCM baada ya kupata mataputapu yako ya Uwanja wa fisi ropoka tukusikilize
Bavicha bana wakiishapiga virobo wanaropoka tu.
ni kawaida yake kutokueleweka , kwani cv yake si umeiona ?
mkuu unamaanisha Prof Lipumba alikuwa sahihi.............!!?
yani hao watu... Hadi mwili umenisisimka kwa hofu juu ya mustakabali wa nchi yangu!
Taarifa nilizozipata kutoka kwa msiri wangu wa ndani ya Ikulu jijini Dar es Salaam anasema, serikali ya Rais Jakaya Kikwete tayari imefilisika. Haina fedha ya kuendeshea shughuli zake.
Aliyekuwa waziri wa fedha,Late William Mgimwa alinukuliwa akiwaambia Shirika la Fedha la Kimatifa (IMF) na Benki ya Dunia (WB), kwenye mikutano ya mwaka ya WB na IMF iliyofanyika mjini Washington DC kuanzia tarehe 7 hadi 15 Oktoba 2013.
Waziri Mgimwa alisema, serikali imezidisha ukomo wa kukopa ndani wa Sh. 484 bilioni ambayo ndiyo iliyoruhusiwa kwa mujibu wa makubaliano na mashirika hayo na kulazimika kukopa nje ya makubaliano kiasi cha Sh. 1, 244.7 bilioni kutoka kwa wafanyabiashara wa ndani.
Kwa mujibu wa msiri wangu, hali hii imeifanya serikali kuwa na wakati mgumu mbele ya mashirika ya kimataifa na kwa wafanyabiashara wa ndani. Deni la taifa sasa limefikia kiasi cha Sh.22 trioni (mwaka 2013) ambayo sawa na asilimia 42.5 ya pato la taifa.
inabidi hotuba ya rais mwisho wa mwezi.....iweke bayana hii hali....na pia azungumzie mikakati ya kututoa kwenye hili janga.......damn......yaani nasita kuamini kuwa nchi yangu imefilisika!!......
magari ya serikali yanayowaendesha watendaji wake wakuu, wakurugenzi na wakurugenzi wasaidizi yameamriwa yarudishwe serikalini, kwani serikali haina tena fedha za kununulia mafuta.
Twende kazi
Panga bei mwenyewe!
Kikwete kakausha nchi, anachota pesa ovyo kufanya miradi ya familia yake
Nchi kudaiwa jambo la kawaida unadhani nchi kama kuendesha disco.
Taarifa nilizozipata kutoka kwa msiri wangu wa ndani ya Ikulu jijini Dar es Salaam anasema, serikali ya Rais Jakaya Kikwete tayari imefilisika. Haina fedha ya kuendeshea shughuli zake.
Aliyekuwa waziri wa fedha,Late William Mgimwa alinukuliwa akiwaambia Shirika la Fedha la Kimatifa (IMF) na Benki ya Dunia (WB), kwenye mikutano ya mwaka ya WB na IMF iliyofanyika mjini Washington DC kuanzia tarehe 7 hadi 15 Oktoba 2013.
Waziri Mgimwa alisema, serikali imezidisha ukomo wa kukopa ndani wa Sh. 484 bilioni ambayo ndiyo iliyoruhusiwa kwa mujibu wa makubaliano na mashirika hayo na kulazimika kukopa nje ya makubaliano kiasi cha Sh. 1, 244.7 bilioni kutoka kwa wafanyabiashara wa ndani.
Kwa mujibu wa msiri wangu, hali hii imeifanya serikali kuwa na wakati mgumu mbele ya mashirika ya kimataifa na kwa wafanyabiashara wa ndani. Deni la taifa sasa limefikia kiasi cha Sh.22 trioni (mwaka 2013) ambayo sawa na asilimia 42.5 ya pato la taifa.
silly comment....
Achilia mbali magari kurudishwa. hata makaratasi ya shilingi 50,plain paper hakuna kwenye taasisi za serikali, likinunuliwa rim moja wanagombania wizara nzima kila sekretari kama vile gari ya mbagala. ni aibu tupu,watendaji wanakaa tu hawana cha kufanya vitu vingi vimekwama pesa haziingizwi.
Kuwa Mtendaji, hasa Mtendaji mkubwa kwenye serikali ya Mheshimiwa Kikwete sasa hivi, watoto wa mjini wanaita Majanga. Nia aibu, dharau, na kebehi ya hali ya juu.
Ndio maana wengine tuko dissapointed na CDM na state ya upinzani Nchini, wale mahayawani hawajui muda wa kupanga stratergy zao na muda wa kuweka chumvi kwenye kidonda.Am sure CCM is extremelly happy with this distraction they call OPD or whatever that is. This was supposed to be the time they sway the Civil servants electorate. yet they waste their tim going to places where ZITTO had influence to try calm down things. Hao waendesha bodaboda, are already a known quantity as far as politics is concerned. They should align their attacks on Civil servants and their families who are know anyone's bet, and CCM is most vulnerable to these votes now.
Kuwa Mtendaji, hasa Mtendaji mkubwa kwenye serikali ya Mheshimiwa Kikwete sasa hivi, watoto wa mjini wanaita Majanga. Nia aibu, dharau, na kebehi ya hali ya juu.
Ndio maana wengine tuko dissapointed na CDM na state ya upinzani Nchini, wale mahayawani hawajui muda wa kupanga stratergy zao na muda wa kuweka chumvi kwenye kidonda.Am sure CCM is extremelly happy with this distraction they call OPD or whatever that is. This was supposed to be the time they sway the Civil servants electorate. yet they waste their tim going to places where ZITTO had influence to try calm down things. Hao waendesha bodaboda, are already a known quantity as far as politics is concerned. They should align their attacks on Civil servants and their families who are know anyone's bet, and CCM is most vulnerable to these votes now.
You are spot on!Nilichokuja kugundua kuhusu hii inayoitwa M4C PD ni mkakati wa kumuimarisha Mbowe na kumdhohofisha Zitto,They should channel these energies on attacking CCM!