umusacha hene
Member
- Jan 25, 2014
- 11
- 1
ni kweli au mi ndo sijaelewa?
Hizo pesa zimefanya nini?maana huduma za jamii zimezidi kuzorotaNchi kudaiwa jambo la kawaida unadhani nchi kama kuendesha disco.
silly comment....acha wapige pesa, mlimpenda jk, mnaipenda ccm, na wao watawapenda daima!
Nimemsikiliza waziri katika taarifa ya habari, nikiri, sijamwelewa kabisa kuhusu 'ratings' alizokuwa akielezea.
Kwa aliyemwelewa, naomba msaada!
Chezea deni la taifa wewe,sasa hivi. Limefika zaidi.ya shilingi tririoni 20, na bado serikali inataka kukopa tena,halafu wanadai uchumi uekua asilimia.7, ndoto za mchana
ni kawaida yake kutokueleweka , kwani cv yake si umeiona ?
Chezea deni la taifa wewe,sasa hivi. Limefika zaidi.ya shilingi tririoni 20, na bado serikali inataka kukopa tena,halafu wanadai uchumi uekua asilimia.7, ndoto za mchana
nyie mna lenu juu ya utawala wa nchi hii....
huyo babu mnaemuona anajua kila kitu atafit kila eneo? mbona tunasikia ni mdhaifu sana kiutendaji mpaka anabebwa na mbowe? acheni fitina za kike
Topic ni kufirisika kwa Tanzania , na wameyasema wao na wala siyo sisi mjomba ! Sisi tunachangia tu , Sasa sijui babu anaingiaje hapa tena !
masahihisho , deni la taifa ni zaidi ya tillion 25 .
Jibu ni 675,000/=. Kama ulitaka kulinganisha na idadai ya watu basi itakuwa hivi:Samahani msaada wa haraka mkuu kukokotoa jibu la swali hili: 27 trilion/40million=?
Topic ni kufirisika kwa Tanzania , na wameyasema wao na wala siyo sisi mjomba ! Sisi tunachangia tu , Sasa sijui babu anaingiaje hapa tena !
nchi kudaiwa jambo la kawaida unadhani nchi kama kuendesha disco.