SoNotorious
JF-Expert Member
- Sep 11, 2011
- 2,422
- 859
naangalia TBC1 hapa saada mkuya amesema deni la taifa hadi dec mwaka jana ni trilion 27,ameongea na media leo idara ya habar maelezo
Reference yake ilikuwa ni nini ?
naangalia TBC1 hapa saada mkuya amesema deni la taifa hadi dec mwaka jana ni trilion 27,ameongea na media leo idara ya habar maelezo
Hakusema wamezitumiaje?
Reference yake ilikuwa ni nini ?
hahahahaaa,umenchekesha,amesema wanajipanga jinsi ya kulilipa,hajasema mbinu
Bavicha bana wakiishapiga virobo wanaropoka tu.
Bavicha bana wakiishapiga virobo wanaropoka tu.
Tulipe bila kujua zimetumikaje?
Umeambiwa ni kutoka tbcccm ndio imetangaza sasa bavicha inaingiaje hapa.
unabisha nini kaka huku geita mkandarasi sinohydo amefunga kazi na maanisha aendelei tena na ujenzi wa barabara kiwango cha lami ajalipwa kwa zaidi ya miezi 5 sasa jama serikali ya jk ina pesa ilipe na itueleze deni la taifa limefikaje trilioni 25
hata hakusema,alikua amejikita kuwapiga mkwara wafanyabiashara wanaokwepa EFDs
Naskiliza waziri wa fedha star tv habari simuelewi anazungumzia vitu gani? Sijui lazima tukope, sijui lazima tujenge mabarabara!? pumba tupu. Hii kawawa road kinondoni sijui inatija gani, itaiongezea serikali kipato kiasi gani tofauti na ulivyokuwa awali?! Huu mradi wa strabag sijui nini kuna jambo, si bure, naapa si bure.
Taarifa nilizozipata kutoka kwa msiri wangu wa ndani ya Ikulu jijini Dar es Salaam anasema, serikali ya Rais Jakaya Kikwete tayari imefilisika. Haina fedha ya kuendeshea shughuli zake.
Aliyekuwa waziri wa fedha,Late William Mgimwa alinukuliwa akiwaambia Shirika la Fedha la Kimatifa (IMF) na Benki ya Dunia (WB), kwenye mikutano ya mwaka ya WB na IMF iliyofanyika mjini Washington DC kuanzia tarehe 7 hadi 15 Oktoba 2013.
Waziri Mgimwa alisema, serikali imezidisha ukomo wa kukopa ndani wa Sh. 484 bilioni ambayo ndiyo iliyoruhusiwa kwa mujibu wa makubaliano na mashirika hayo na kulazimika kukopa nje ya makubaliano kiasi cha Sh. 1, 244.7 bilioni kutoka kwa wafanyabiashara wa ndani.
Kwa mujibu wa msiri wangu, hali hii imeifanya serikali kuwa na wakati mgumu mbele ya mashirika ya kimataifa na kwa wafanyabiashara wa ndani. Deni la taifa sasa limefikia kiasi cha Sh.22 trioni (mwaka 2013) ambayo sawa na asilimia 42.5 ya pato la taifa.