BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,511
- 11,911
Shariah economics.
Mambo ya nchi wewe unaleta udini huna akili kabisa.Sema kasoma BA Economics UDSM
Shariah economics.
Bunge la katiba ni case study tosha kabisa kwa watu wenye nia ya kuelewa siasa zetu zilipo, aina ya viongozi tulio nao, descpline among us, planning and economic perspective.
Ingekuwa nchi nyengine kama walisema bunge ni la siku 70 na ikizidi ni 90. Hilo Bunge lingekuwa limetengewa a 'shoe string budget' hiyo tu na si kingine. Kwa mwenendo wa kipuuzi unaoendelea siasa zingechukua mkondo muda huu, gharama za bunge la katiba zingekuwa kwenye kurasa za mbele ya magazeti nani anae gharamia nyongeza, hela inatoka wapina thamani ya katiba in comprable to other weak areas of society. Watu sasa wangekuwa wanauliza if we needed katiba in the first place, watanzania wangetaka kujua gharama za bunge hili lote na kama kweli tunalihitaji. And all other economic factors za kutafuta uhalali wa gharama za kuipata katiba mpya in what we have forsaked na hiyo hela kwenye nchi maskini.
Wenzetu wanaelewa hakuna maendeleo bila ya hela, hiyo ndio resource ambayo inakuweka juu au inakushusha chini priority za matumizi na vyanzo vya mapato ndio kila kitu kwenye siasa za dunia ya kwanza. Kwa namna bunge linavyoendelea na danadana zinazopigwa inaonyesha ni jinsi gani wanasiasa wetu wanavyo chukulia maendeleo ya taifa na kwa nini unaona sisi ni maskini, atu thamini hela kabisa na maendeleo; wakati tukienda vijijini au mijini shida zetu zipo mbele ya macho yetu.
Unaweza kuona kama viongozi wenyewe ndio hawa with those nature of arguments produced in the parliament assembly kwakweli sisi bado sana, kwenye siasa na tunapwaya kwenye hiyo taaluma. No wonder with all our resources we are still poor and havent learnt yet to capitalize on them, money is not something that concerns us with our development. Tumeshajijengea akili ya kuwa bado tunakopesheka as yule kilaza mama waziri alivyo tuambia, we dont have to worry how we spend it on the running of administration na upuuzi mwengine, halafu tunategemea maendeleo without investing on the people and infrastructure.
DuH!
leo tarehe 20/4/2014 ma wanajeshi hawajachukua chao!
DuH!
leo tarehe 20/4/2014 ma wanajeshi hawajachukua chao!
Ujui usemalo.
Lake group watulipe mishahara walikwapua hela zetu za walipa kodi
Na kwa taarifa tu uchaguzi wa serikali za mitaa hakuna mwaka huu kutokana na serikali ya ------ kutokuwa na hela uchaguzi utafanyika mwakani sambamba na wa madiwani pamoja na marais kwa msaada wa marekani.
Watu wengi wamekuwa wakionyesha wasi wasi wao kuhusu hali halisi ya kifedha ya serikali ya JK! Lakini kila wakati serikali imekuwa ikikanusha kuwa haijafilisika hata pale ambapo katika ofisi nyingi za serikali zinakosa hata wino na karatasi za kuandikia!
Hadi leo tarehe 03/09/2014 wafanyakazi katika wizara nyingi hawajalipwa mishahara yao!! Tafsiri yake ni nini?!
Watu wengi wamekuwa wakionyesha wasi wasi wao kuhusu hali halisi ya kifedha ya serikali ya JK! Lakini kila wakati serikali imekuwa ikikanusha kuwa haijafilisika hata pale ambapo katika ofisi nyingi za serikali zinakosa hata wino na karatasi za kuandikia!
Hadi leo tarehe 03/09/2014 wafanyakazi katika wizara nyingi hawajalipwa mishahara yao!! Tafsiri yake ni nini?!
Serikali inaposhindwa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara yao kwa wakati, ndiyo kufilisika kwenyewe!!Kufilisika kwa serikali kukoje mkuu? Leta darsa na Ilim kwanza nso tuchangie
Kushindwa kulipa mishahara ya watumishi wake, kushindwa kutoa pesa za huduma muhimu za jamii kama hospitali, elimu nk, kushindwa kulipa madeni mbali mbali inayodaiwa, kushindwa kutoa pesa za miradi ya maendeleo zote au nusu kwa wakati. Lakini katika yote pesa za safari za rais huwa hazina tatizo kabisa. Bora mle majani lakini rais lazima asafiri! Na muda si mrefu utamsikia yuko Marekani au Ulaya kuhemea vibaba!Kufilisika kwa serikali kukoje mkuu? Leta darsa na Ilim kwanza nso tuchangie
MTAPIGWA TU MAANA MMEZIDI UMBEA nani kakuambia serikali za kiafrika zinafilisika, maana serikali inaweza kuanzisha kodi kibai overnight kukusanya kodi toka kwenu ili kujiendeleza. Hujiulizi kwa nini mafuta Dar ni gharama kuliko ZAMBIA/LUSAKA na wanatumia dar port kupitisha mafuta yao? unajua kila lita 1 ya mafuta ina kodi ngapi?
Hili nalo neno.maana siku hizi zinachangwa kweli.mf mdogo tu ni askari wa barabarani siku hizi kila trafiki ana kitabu cha faini na utawakuta wamepiga kambi mtu kama kumi hivi.
Naona tatizo letu ni kufanya matumizi sana ktk miradi mbalimbali kama ya ujenzi, kilimo, n.k bila kusahau posho kwa hiyo fedha zipo nyingi ktk uchumi na hiyo ndiyo inasababisha matatizo kama mfumuko wa bei (money supply inflation), serikali inabidi ss kufanya mbinu mbalimbali za kupunguza fedha ktk uchumi kama kwa mfano kuuza govt bond n.k