Serikali ya Kikwete imefilisika rasmi!

Serikali ya Kikwete imefilisika rasmi!

Jk nomaa,kawaweka mwigulu na malima wizara ya fedha tusubir matokeo,watakamu ngombe mpaka itatoka damu badala ya maziwa
yani hao watu... hadi mwili umenisisimka kwa hofu juu ya mustakabali wa nchi yangu!
 
(1) kila siku tra wanazidi malengo katika kukusanya kodi,kusimamia vizuri kodi zetu

(2) vyanzo vipo vingi sana vya kukusanya kodi, mfano bandarini endapo tutaweza kuvisimamia kikamilifu na kumdhibiti hsc anayepitisha mizigo ya watu bila ya kulipiwa kodi kwa mgongo wa jk

(3) ccm kuacha kutegemea wafanyabiashara kuwasaidia katika kampeni, na kutekeleza miradi ya maendeleo kwasababu hii inatengeneza mazingira makubwa ya kukwepa kulipa kodi

(4) kuboresha daftari la kudumu wapiga kura, ili vijana wengi ( about 5 milioni ) wapate fursa ya kupiga kura na kuing'oa serkali dhalimu ya ccm madarakani

nb.
1.inawezekana
2.haiwezekani
3.haiwezekani
4.inawezekana
 
Nchi kudaiwa jambo la kawaida unadhani nchi kama kuendesha disco.

Haha..hivi zaidi ya ujamba hovyo kw akuvimbiwa hadi mavi yanasogea kama ya panzi na kuchamba hovyo.Hivi mnafaida gani ktk nchi..?hivi biashara yako ya Kanzu inalipishwa kodi kiasi cha kujilia raha pekee yenu...


Kweli nyie ni viwavi jeshi ..mmemaliza hazina ya nchi kwa kulipana mafao ya uhuru..yet mnalia tena kuwa hamjalipwa mafao ya uhuru.

Hivi hayaishi hayo mafao?ingawa si kweli kuwa mlipigania uhuru..kwani uhuru haukupiganiwa.
 
Kwa kifupi ni kwamba kila mtanzania anadaiwa mkopo wa tsh.490,000 ili kulipa mkopo huo😨



Sent from my Samsung Note III using Tapatalk
 
Nchi kanunua Rizone siku nyingi. Anayeitaka na akate tamaa maana amenunuliwa pia na Ritz
 
Mideni kibao halafu tunaendekeza mideni zaidi kwenye white elephant projects kama bandari ya Bagamoyo.

Tutaweka rehani nchi halafu tukishindwa kulipa sijui tutahamia wapi.
 
Mideni kibao halafu tunaendekeza mideni zaidi kwenye white elephant projects kama bandari ya Bagamoyo.

Tutaweka rehani nchi halafu tukishindwa kulipa sijui tutahamia wapi.
una ushahidi au unaropokwa mzaramo wewe?
 
ni kawaida yake kutokueleweka , kwani cv yake si umeiona ?

akili ndogo hamwezi kumuelewa. hivi unategemea lema,sugu,msigwa,mbowe na wewe mlivyo vilaza mtamuelewa kweli? kawaulizen,i wasomi wakina prof safari na baregu watakuwa wamemwelewa vizuri..acheni bange na viroba kwanza akili irudi
 
What follows?!
Kupunguza wafanyakazi?...

May be mchakato wa katiba mpya usitishwe...
 
Sheikh tupe ukweli wa mambo!ila ni kweli waziri Saada kasema deni ni trillion 27,ehhe nawe tupe Financial Reports za CCM 2012/13

mmmmh, kama kweli mama huyu kasema haya kuhusu deni la Taifa, basi, ajiandae kuitwa msaliti ndani ya magamba na"sirikali" yake.
 
....yaani hii nchi tunatia aibu sana....utafikiri hakuna watu wa kuiongoza?......Nakumbuka kipindi fulani anagalua viongozi walikuwa na uwezo wa kujaribu kubana matumizi......magari ya serikali mwisho kutembea saa kumi na mbili.....siku ya Jumapili ndio kabisaa hakuna kuonekana mtaani.......

Jirani yetu Kenya....Wakati ule Waziri wa Fedha...Uhuru akaagiza Passat kwa ajili ya viongozi...wanaotaka mabenzi na SUV V8 wajinunulie wenyewe.......tunapoteza pesa nyingi sana kwenye matumizi ya usafiri wa viongozi wetu......

Punguza safari za nje......review mikataba yote inayohusu rasilimali zetu....iliyo na tija imarisha.....isiyo na tija negotiate (hili suala nimefanyia sana nchi za watu nikiwa kama consultant).....punguza matumizi kwenye vitengo visivyo na tija.......

Tumieni vema watu kama akina Prof Lipumba, Dr Dau et al......watu mpende msipende.....tuna hazina za watu wetu lakini tunazidharau....kisa Siasa....huku nchi inakufa masikini......

Makampuni ya simu ni wezi wakubwa sana.......mapato yao yaangaliwe upya ili kodi itozwe ipasavyo......gharama za simu, internet nyumbani ni za MAUAJI........
 
Inabidi Hotuba ya Rais mwisho wa mwezi.....iweke bayana hii hali....na pia azungumzie mikakati ya kututoa kwenye hili JANGA.......damn......yaani nasita kuamini kuwa nchi yangu imefilisika!!......
 
Dalili mojawapo ya kufilisika ni kukopa na kutolipa madeni,w/fedha anadai deni limekua na.kufikia.trilion 27 lkn bado watu hawaamini,mpaka jk aodoke madarakani nchi itakua icu
 
Kwa hiyo zile tripu zote za JK huko na huko tulizoambiwa sio bure kumbe kweli...................
 
Wako wapi wale wote waliokuwa wakimtukana Rais mstaafu Mkapa kwa kila aina ya kashfa huku wakimfananisha Kikwete na Mkombozi the second coming?Mkapa baada ya kuzidiwa na lundo la matusi na za baadhi ya Watanzania ikabidi sasa mzee wa watu ayatoe ya moyoni na kujibu "Mtanikumbuka..." nahisi wote waliokuwa wakimtusi Mkapa leo wanaona aibu hata kukiri kuwa utawala wake ulikuwa mzuri mno ukiulinganisha na wa huyu mswahili kutoka M.s.o.g.a!!!
 
Back
Top Bottom