Waliogopa wale wakiwatoa wataenda kuunda makundi ya waasiWe jamaa una roho mbaya kama mbuzi mjamzito....
Sijui kwanini mwendazake hakuhakiki vyeti vya mapolisi na wanajeshi.... Ile ilikuwa double standard ya kihuni sana
Waliogopa wale wakiwatoa wataenda kuunda makundi ya waasiWe jamaa una roho mbaya kama mbuzi mjamzito....
Sijui kwanini mwendazake hakuhakiki vyeti vya mapolisi na wanajeshi.... Ile ilikuwa double standard ya kihuni sana
Haijalishi waliowaingiza kwenye system ni kina nani lakini kuwalipa hao mabwana mabwana ni kuhalalisha Wizi wa vyeti feki.........
Kutokukamatwa ukiwa unaiba hakukuhalalishi kuwa mwizi.......
nnachokiona hapa itapigwa moja na mbili halafu watuhumiwa hao hawataona kitu.
mambuzi yako yanaruka walipweeeeeee.
Kwanini wanastahili hali ya kuwa kazi ya hayo mafao wameipata Kwa kughushi na kuilaghai serikali......??Wanastahili ni haki yao kulipwa.
Yule prof wa UdSM alikutw na vyeti feki na bado aliyekua rais alimteua waziri wa sheria..kwahyo ukiwa na vyeti feki hutakiwi kulipwa wala kua mtumisha wa umma ila ni ruksa kua waziri au mbunge si ndio...mbona hamkulalamika alivyopewa uwaziri wa sheria yule prof??? Waachen jaman walipwe hizo 5% tu wapate mitaji tu.WEWE uligushi Cheti tu
Kabudi alikua kwenye list ya vyeti feki kama prof UDSM ,lakn mbona alipopewa uwaziri hamkusema kama Rais aliyekuepo amehalalisha wizi???Tunahalalisha wizi.
Makonda yupo mitaani anakula bataKabisa ,si ndio hapo ,hii nchi ni ya kiseng£ sana ,kuna mambo inabidi siasa ikae pembeni ,hawa wapuuz ilipaswa wafungwe pigwa fine na kufilisiwa maana ajira zao ni batili ,hivyo mishahara yao pia ni batili so waliiba pesa za serikali kupitia mishahara ya ajira feki na plus walihoji vyeti ambazo ni nyaraka za kiserikali hilo ni kosa la jinai pia
Ningeshauri serikali pamoja na kuwalipa pesa zaa iwape hata room tatu za kulala. Kama atakuwa Hana nyumba hiyo hell haitoshi. Wapigiwe mahesabu ya vyumba vitatu na choo serikali iwasaidie pamoja na pesa zao. Maisha ni magumu mno.
Haiondoi bado upuuz na ujinga uliofanywa na hao wafoji vyeti , kwa hiyo wewe ulitaka hao wapuuz waachwe waendelee kubenefit kwa kuvuta mishahara bwerere bila kuwa na qualifications za kitaaluma zinazohitajika ? Mbona mna akili za kizwazwa hivi ?Makonda yupo mitaani anakula bata
Hizo pesa za kuwalipa hao Kenge ni mabilioni ya shilingi , pesa ambazo zingeweza kufanya mambo mengi useful Kwa jamii kama kutoa mitaji na vitendea kazi vya kisasa kwenye kilimo au mashine za uchakataji wa mazao kuongeza thamani hasa kwa vijana wasio na ajiraNi wapumbavu tu ndio wataona hili liko sawa, Hamna mtu ambae ana uchungu na Taifa hili na rasilimali zake ata afiki huu ujinga.
sijui hata washauri wa huyu mama wako wapi, wangeruwarudshia kimya kimya bas maana hiki kinachofanyika ni ujinga na Aibu.
2025 huyu mama akipita Urais ntaamini Uchawi upo.
Kabisa ,si ndio hapo ,hii nchi ni ya kiseng£ sana ,kuna mambo inabidi siasa ikae pembeni ,hawa wapuuz ilipaswa wafungwe pigwa fine na kufilisiwa maana ajira zao ni batili ,hivyo mishahara yao pia ni batili so waliiba pesa za serikali kupitia mishahara ya ajira feki na plus walihoji vyeti ambazo ni nyaraka za kiserikali hilo ni kosa la jinai pia
Uko sawa mkuuNi wapumbavu tu ndio wataona hili liko sawa, Hamna mtu ambae ana uchungu na Taifa hili na rasilimali zake ata afiki huu ujinga.
sijui hata washauri wa huyu mama wako wapi, wangeruwarudshia kimya kimya bas maana hiki kinachofanyika ni ujinga na Aibu.
2025 huyu mama akipita Urais ntaamini Uchawi upo.
Ni wapumbavu tu ndio wataona hili liko sawa, Hamna mtu ambae ana uchungu na Taifa hili na rasilimali zake ata afiki huu ujinga.
sijui hata washauri wa huyu mama wako wapi, wangeruwarudshia kimya kimya bas maana hiki kinachofanyika ni ujinga na Aibu.
2025 huyu mama akipita Urais ntaamini Uchawi upo.
Kama hawa watu wanastahili kulipwa inakuwaje leo shule zinafutiwa matokeo kisa wizi wa mitihani?Watumishi wa Serikali katika Kada mbalimbali ambao waliondolewa kazini kutokana na tuhuma za kuwa na vyeti feki vya taaluma. Serikali imeagiza mchakato wa kuwalipa mafao yao uanze mara moja.
Siku ya leo Mawaziri Wawili watafanya mkutano na waandishi wa habari kuhusu michango ya pensheni waliyokatwa Watumishi waliondolewa kazini baada ya zoezi maalumu la Uhakiki wa vyeti .
Mkutano huo utaongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menijementi ya Umma na Utawala Bora. Mhe.Jenista Mhagama
Pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako.
Mkutano utaanza saa tatu kamili asubuhi katika ukumbi wa PSSSF Tower ghorofa ya Nne Dodoma.