WEWE uligushi Cheti tu
Yule prof wa UdSM alikutw na vyeti feki na bado aliyekua rais alimteua waziri wa sheria..kwahyo ukiwa na vyeti feki hutakiwi kulipwa wala kua mtumisha wa umma ila ni ruksa kua waziri au mbunge si ndio...mbona hamkulalamika alivyopewa uwaziri wa sheria yule prof??? Waachen jaman walipwe hizo 5% tu wapate mitaji tu.
 
Kabisa ,si ndio hapo ,hii nchi ni ya kiseng£ sana ,kuna mambo inabidi siasa ikae pembeni ,hawa wapuuz ilipaswa wafungwe pigwa fine na kufilisiwa maana ajira zao ni batili ,hivyo mishahara yao pia ni batili so waliiba pesa za serikali kupitia mishahara ya ajira feki na plus walihoji vyeti ambazo ni nyaraka za kiserikali hilo ni kosa la jinai pia
 
Kabisa ,si ndio hapo ,hii nchi ni ya kiseng£ sana ,kuna mambo inabidi siasa ikae pembeni ,hawa wapuuz ilipaswa wafungwe pigwa fine na kufilisiwa maana ajira zao ni batili ,hivyo mishahara yao pia ni batili so waliiba pesa za serikali kupitia mishahara ya ajira feki na plus walihoji vyeti ambazo ni nyaraka za kiserikali hilo ni kosa la jinai pia
Makonda yupo mitaani anakula bata
 
Acha utaahira hiyo pesa ya serikali unadhani inaokotwa au ? , Mwisho wa siku unajua ni nani anayekuja kubeba huo mzigo ? Nyie wapuuz ndio additional tax na tozo nyingine zikiongezwa kwenye bidhaa na huduma mnakuja kulialia hapa ,
Mxieew .mna laana
Ningeshauri serikali pamoja na kuwalipa pesa zaa iwape hata room tatu za kulala. Kama atakuwa Hana nyumba hiyo hell haitoshi. Wapigiwe mahesabu ya vyumba vitatu na choo serikali iwasaidie pamoja na pesa zao. Maisha ni magumu mno.
 
Makonda yupo mitaani anakula bata
Haiondoi bado upuuz na ujinga uliofanywa na hao wafoji vyeti , kwa hiyo wewe ulitaka hao wapuuz waachwe waendelee kubenefit kwa kuvuta mishahara bwerere bila kuwa na qualifications za kitaaluma zinazohitajika ? Mbona mna akili za kizwazwa hivi ?
Bashite na viongozi wengine wa serikali nao ilibidi wachunguzwe na kung'olewa,wala siko hapa kumtetea bashite au taahira yoyote mfoji vyeti ,hii tabia ya kufunika uozo itaendelea kuicost nchi miaka 1000 ijayo
 
Hizo pesa ni m
Ni wapumbavu tu ndio wataona hili liko sawa, Hamna mtu ambae ana uchungu na Taifa hili na rasilimali zake ata afiki huu ujinga.

sijui hata washauri wa huyu mama wako wapi, wangeruwarudshia kimya kimya bas maana hiki kinachofanyika ni ujinga na Aibu.

2025 huyu mama akipita Urais ntaamini Uchawi upo.
Hizo pesa za kuwalipa hao Kenge ni mabilioni ya shilingi , pesa ambazo zingeweza kufanya mambo mengi useful Kwa jamii kama kutoa mitaji na vitendea kazi vya kisasa kwenye kilimo au mashine za uchakataji wa mazao kuongeza thamani hasa kwa vijana wasio na ajira
 
Kabisa ,si ndio hapo ,hii nchi ni ya kiseng£ sana ,kuna mambo inabidi siasa ikae pembeni ,hawa wapuuz ilipaswa wafungwe pigwa fine na kufilisiwa maana ajira zao ni batili ,hivyo mishahara yao pia ni batili so waliiba pesa za serikali kupitia mishahara ya ajira feki na plus walihoji vyeti ambazo ni nyaraka za kiserikali hilo ni kosa la jinai pia

Roho ya kimaskini hii.
 
Ni wapumbavu tu ndio wataona hili liko sawa, Hamna mtu ambae ana uchungu na Taifa hili na rasilimali zake ata afiki huu ujinga.

sijui hata washauri wa huyu mama wako wapi, wangeruwarudshia kimya kimya bas maana hiki kinachofanyika ni ujinga na Aibu.

2025 huyu mama akipita Urais ntaamini Uchawi upo.
Uko sawa mkuu
 
Ni wapumbavu tu ndio wataona hili liko sawa, Hamna mtu ambae ana uchungu na Taifa hili na rasilimali zake ata afiki huu ujinga.

sijui hata washauri wa huyu mama wako wapi, wangeruwarudshia kimya kimya bas maana hiki kinachofanyika ni ujinga na Aibu.

2025 huyu mama akipita Urais ntaamini Uchawi upo.
 
Watumishi wa Serikali katika Kada mbalimbali ambao waliondolewa kazini kutokana na tuhuma za kuwa na vyeti feki vya taaluma. Serikali imeagiza mchakato wa kuwalipa mafao yao uanze mara moja.

Siku ya leo Mawaziri Wawili watafanya mkutano na waandishi wa habari kuhusu michango ya pensheni waliyokatwa Watumishi waliondolewa kazini baada ya zoezi maalumu la Uhakiki wa vyeti .

Mkutano huo utaongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menijementi ya Umma na Utawala Bora. Mhe.Jenista Mhagama

Pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako.

Mkutano utaanza saa tatu kamili asubuhi katika ukumbi wa PSSSF Tower ghorofa ya Nne Dodoma.
Kama hawa watu wanastahili kulipwa inakuwaje leo shule zinafutiwa matokeo kisa wizi wa mitihani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom