GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Mi nakuona mtu mwenye kuelimika na hiyo kofia ulio vaa na joho kubwa kumbe hamuna kitu ? Hivi wewe ulitaka serikali 5 ? Hujui kwamba nchi zilizo ungana ni mbili ambazo ziko huru ? Tanganyika na zanzibar. Unataka mifamo ?- U know siasa ni kama Sheria mara nyingi huongozwa kwa mifano zaidi, hivi ni Taifa gani Duniani lina Serikali Tatu ambalo tunaweza kulitumia kama our Role Model wa hii idea ya Serikali Tatu? Mimi nilidhani tunahitaji kuiongezea nguvu za utawala Mikoa yaani kwa kuirudia ile dhana ya Madaraka Mikoani, lakini Serikali Tatu I mean I am lost maana kama nimeisoma vizuri sana Rasimu ni kwamba Tunatakiwa kuwa na Serikali Tatu, Marais Watatu, Mabunge Matatu, Benki Kuu tatu, Sarafu za Pesa Tatu, Mawaziri Wakuu Watatu!!
- I mean, si niliwahi kusikia kwamba Kamati ya Katiba Mpya inaongozwa na ma-genius now what is this Serikali tatu thing?
Le Mutuz
United Kingdom
Kuna serikali ya
Wales- Ina bunge lake Katiba na mawaziri-bendera na wimbo wa taifa
scottland- Inabunge lake katiba na mawaziri,bendera na wimbo wa taifa
England- Ina bunge lake Katiba na Mawaziri ,bendera na wimbo wa taifa
Northen Ireland ni hivyo hivyo.
Kuna mbunge la muungano na mawaziri wa muungano wa United kingdom.
The United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland,[SUP][nb 6][/SUP] commonly known as the United Kingdom (UK) or Britain, is a sovereign state located off the north-western coast of continental Europe. The country includes the island of Great Britain, the north-eastern part of the island of Ireland, and many smaller islands. Northern Ireland is the only part of the UK that shares a land border with another state-the Republic of Ireland.[SUP][nb 7][/SUP] Apart from this land border, the UK is surrounded by the Atlantic Ocean in the west and north, the North Sea in the east, the English Channel in the south, and the Irish Sea in the west.
The UK's form of government is a constitutional monarchy[SUP][9][/SUP][SUP][10][/SUP] with a parliamentary system and its capital city is London. It is also a Commonwealth Realm. The United Kingdom consists of four countries: England, Scotland, Wales, and Northern Ireland.[SUP][11][/SUP] The latter three have devolved administrations,[SUP][12][/SUP] each with varying powers,[SUP][13][/SUP][SUP][14][/SUP] based in their capital cities, Edinburgh, Cardiff, and Belfast, respectively. Guernsey, Jersey, and the Isle of Man are Crown dependencies and are not part of the UK.[SUP][15][/SUP] The United Kingdom has fourteen British Overseas Territories.[SUP][16][/SUP] These are remnants of the British Empire which, at its height in the late 19th and early 20th centuries, encompassed almost a quarter of the world's land mass and was the largest empire in history. British influence can be observed in the language, culture, and legal systems of many of its former colonies.
The United Kingdom is a developed country and has the world's sixth-largest economy by nominal GDP and eighth-largest economy by purchasing power parity. It was the world's first industrialised country[SUP][17][/SUP] and the world's foremost power during the 19th and early 20th centuries.[SUP][18][/SUP] The UK remains a great power with considerable economic, cultural, military, scientific, and political influence internationally.[SUP][19][/SUP][SUP][20][/SUP] It is a recognised nuclear weapons state and its military expenditure ranks fourth in the world.[SUP][21][/SUP]
The UK has been a permanent member of the United Nations Security Council since its first session in 1946. It has been a member of the European Union (EU) and its predecessor the European Economic Community (EEC) since 1973; it is also a member of the Commonwealth of Nations, the Council of Europe, the G7, the G8, the G20, NATO, the Organisation for Economic Co-operation and Development (OECD), and the World Trade Organization (WTO).
Jee una suala lolote ? Rudi kasome mkuu