dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,155
- 49,470
- Tumefuata mfano wa USA wa Serikali mbili tu!
Le Mutuz
Sometimes CCM ni watu wa ajabu sana! Ulichoandika hapa ni kituko. Iko hivi, kwanza US wanafuata mfumo wa majimbo ambapo kila jimbo lina mamlaka fulani ya kiutawala na kujiendeshea mambo yake ikiwa ni pamoja na sheria zake. Do you mean huu Muungano tulio nao ni wa majimbo? Kama ndivyo, hebu nitajie majimbo yanaoyounda muungano wa Tz.
Kule US Jimbo huongozwa na Gavana, kwa mfumo wa majimbo unaodai upo Tz, wakuu wa majimbo ni akina nani? Huchaguliwa na kusimikwaje?
Mkuu kama huna uelewa na kitu au hoja ni vyema kunyamaza kuliko kuropoka. Kwa hoja yako hii hata CCM wenzeo wakikusikia watakushangaa maana badala ya kujenga hoja ya maana unazidi kuwaharibia. No wonder ndio maana wanakupiga chini kwenye issues mbalimbali kama uwezo wako wa hoja ndio kama hivi.