Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,750
Bajeti ilishatengwa, imekuaje wamemega hilo fungu?. Inavyosemekana wali-double budget.
budget inapotengwa haimaanishi fedha zipo zinamsubiri mtumiaji! tz bado hatujafikia huko.
Bajeti ilishatengwa, imekuaje wamemega hilo fungu?. Inavyosemekana wali-double budget.
jamaan huku saut hali ishakua mbaya, dada zetu washaanza kujipiga mnada yaani hadi buku mbili..baba mwanaasha tusaidie bwana watu tunashindia mlo mmoja kwa siku tenaa chai[/QU
WACHA UJINGA WEWE INA MAANA MKOPO UMEWAATHIRI ZAIDI WATOTO WA KIKE MPAKA WAJIPIGE MNADA?KAMA WAO WANAFANYA HIVYO WEWE UNAFANYA NINI?ACHA TABIA YA KUDHALILISHA WANAWAKE!JENGA HOJA NA UTASIKIKA SI KUONGEA ******!TENA UKAE UKIJUA WAKATI WEWE UMEKAUKIWA MTOTO WA KIKE HUWA NA AKIBA!
acha ushoga wewe
Natamani UD wacheleweshe waendeleze ubabe wao wa kufukuza wote ........sijui kama UD kunakusubiri hata siku mbili. Serikali na mafisadi wake kwanini kila siku tunasema mafisadi wako wapi?
...Ina maana Arumeru ndio tipping point?Baada ya uchaguzi wa Arumeru hii nchi ita-collapse kifedha kabisa.