Serikali sasa taabani, wanafunzi vyuo vikuu kutolipwa pesa zao.

jamaan huku saut hali ishakua mbaya, dada zetu washaanza kujipiga mnada yaani hadi buku mbili..baba mwanaasha tusaidie bwana watu tunashindia mlo mmoja kwa siku tenaa chai[/QU
WACHA UJINGA WEWE INA MAANA MKOPO UMEWAATHIRI ZAIDI WATOTO WA KIKE MPAKA WAJIPIGE MNADA?KAMA WAO WANAFANYA HIVYO WEWE UNAFANYA NINI?ACHA TABIA YA KUDHALILISHA WANAWAKE!JENGA HOJA NA UTASIKIKA SI KUONGEA ******!TENA UKAE UKIJUA WAKATI WEWE UMEKAUKIWA MTOTO WA KIKE HUWA NA AKIBA!

acha ushoga wewe
 
Natamani UD wacheleweshe waendeleze ubabe wao wa kufukuza wote ........sijui kama UD kunakusubiri hata siku mbili. Serikali na mafisadi wake kwanini kila siku tunasema mafisadi wako wapi?
 
Natamani UD wacheleweshe waendeleze ubabe wao wa kufukuza wote ........sijui kama UD kunakusubiri hata siku mbili. Serikali na mafisadi wake kwanini kila siku tunasema mafisadi wako wapi?

tena na hvi wengne tunarudi tukiwa hatuna hata pesa ya kula cku 3,kitaeleweka 2 mkuu!
 
Back
Top Bottom