Serikali na unyanyasaji kwa Mbowe

Serikali na unyanyasaji kwa Mbowe

~~~>>>Mbowe kama Mwenyekiti wa Chama kikuu cha Upinzani, na kiongozi wa kambi ya Upinzani anapaswa kuonyesha mfano mzuri ktk kulipa kodi.....


"LIPA KODI KWA MAENDELEO YA TAIFA"
 
Machame mbona kuna mashamba mengi ya maua, kahawa yanamikikiwa na wazungu na wanatumia mamilioni ya cubic meters za ujazo za maji toka zamani mbona hawaambiwi kuwa wanaharibu vyanzo vya maji?
~~~>>>Tatizo sio kutumia maji bali ni kufuata taratibu ktk kutumia hayo maji...
 
Mmh jamani.hizi Mali za kuritithirithi nazo kumbe shida.Usikute wazazi wake walijua jinsi ya kula na kipofu.
 
Huyu mkuu wa wilaya ya hao, ni mnoma, kaza baba hawa jamaa wanafikiri nchi hii ni ya kuvunavuna tu, wamevuna we, wakaona kumbe pia tuwaweza kwenda kula ikulu ee,
Wewe ni wa nchi gani maana hata kiswahili chako hakieleweki
 
Ukijaribu kumtetea Mbowe kwenye hili suala utachemka. Two wrongs don't make a right.
Hajamtetea mbowe Bali ni uhalisia inamaana aliyekwepa ni mbowe. Na Lugumu ambayo haikukwepa Bali ilichota mbona mhedhimiwa sana haioni?
Au zilitumika kwenye kampeni za chama cha kijani?
 
Cha kujiuliza miaka yote chama gani kilikuwa kinatawala?
Mbowe ameonekana hafai sasa hivi?
Mbona magufuli alipokwenda kufungua barabara akiwa waziri alimsifia sana au ulikuwa unafiki?
Jengo la Billicanas amelikarabati kwa makubaliano ya NHC baada ya huyu jamaa kuingia ikulu ndiyo inaonekana anadaiwa?
Miaka yote walikuwa wapi? Au ndiyo wanatafuta umaarufu kupitia kwa Mbowe?
umesahau kuwa tumbua tumbua ni ya magu nasikia hata quality group wametumbuliwa sijui lkn nasikia
 
Hapo sasa!! Rais awe mfano kwa kuweka wazi mshahara wake, marupurupu yake, ili tupate namna ya kumshinikiza juu ya yeye kulipa kodi pia.

Tusikurupuke; sheria inasemaje kuhusu Raisi kulipa kodi. Huwezi kujitolea Sheria eti Raisi afanye utakalo wewe au upinzani.
 
Ni sawa kuwa kodi inapaswa kulipwa na wafanyabiashara wote.

Ila kwa mtu mwenye akili lazima utajiuliza yafuatayo:~

■ Serikali zilizopita hazikuona hayo makosa mfano kulima karibu na chanzo cha maji?

Kuvuta maji mtoni kwaajili ya umwagiliaji kuna tatizo gani? Na ni yeye peke yake anayevuta hayo maji?

Na kulikuwa na conditions alizowekewa akakiuka?

■ Hiyo kodi ya Mil. 13 ndio inayokwamisha utimizaji wa ilani ya CCM?

■ JE , ni Mbowe pekee ndiye anayedaiwa kodi? Mbona ameandamwa sana na kuunganishiwa makosa mfululizo?


INASHANGAZA KWAKWELI.
YUSUF MANJI
 
Na angefanikiwa Lowassa angechukuwa urais, Mbowe alikuwa ameukata na mali ya Watanzania, jengo lilikuwa linatoweka. Mungu ni mkubwa amempiga full stop. Alipe kodi kama Watanzania wengine. Wengi walikuwa wakitajirika kwa deals, sasa waliokuwa na biashara za bila deals wataendelea, waliokuwa wanapiga deals na kuwaibia wengi wataporomoka. Kweli Mbowe alikuwa sugu na ni mwizi wa kutumia njia ya ujanja.
Well said
 
..serikali inadaiwa na watumishi madeni tele mbona hawalipi???....kwanini serikali inanyanyasa watu wake huku ikiwanyima haki zao walio wengi??
 
Hivi Mkuu wa wilaya ninkazi yake kudai kodi kwa niaba ya TRA? Je ni watu wangapi au taasisi ngapi amezipitia huyo Dc kudai kodi?
 
Kama lipo ndani ya chanzo cha maji alipewaje hati?lkn kama kweli mwenyekt anadaiwa kodi kwann alikuwa halipi?kwa kweli inaskitisha sana watu wanaopambana kuleta haki ikiwa pamoja na kulipa kodi leo tena ndo wadaiwa staki kuzungumza upande as ccm kwasababu his wanajulikana wacha kukwepa kodi ni majizi na ndo yanashiriki hata kusafilisha wanyama poli nje ya nchi yale ni majambazi kwa hiyo bila kufanya wizi hayajiskii vizuri ni mpaka kwenye kula
 
Back
Top Bottom