Serikali na unyanyasaji kwa Mbowe

Serikali na unyanyasaji kwa Mbowe

Hivi unatoa wapi moral authority ya kumwambia mtu alipe kodi wakati wewe si mlipa kodi?.............
Hapo sasa!! Rais awe mfano kwa kuweka wazi mshahara wake, marupurupu yake, ili tupate namna ya kumshinikiza juu ya yeye kulipa kodi pia.
 
Mfumo wa ulipaji kodi ulikuwa wa hovyo hovyo Sana, inawezekana kodi jamaa analipa lakini wajanja kumbukumbu walikuwa wanapoteza, hilo pia liangaliwe ili tusiumizane sana hii ni nchi yetu sote.
Kitu pekee kinachoweza mponesha ni uthibitisho kama atashindwa kuthibisha ye alipe tu
 
Serikali inadaiwa na TANESCO 125 bilioni. 85 billioni kule Zanzibar na 40 billioni Serikali ya Tanganyika lakini hatuoni juhudi za Serikali kukusanya deni hili kubwa pamoja na Serikali kujua fika hali mbaya ya kifedha inayoikabili TANESCO.

Sasa Mkuu hiii inahalisha kwamba Mbowe asilipe kodi kama anadaiwa? Mimi naamini Kiongozi wa upinzani ni kama mke wa Kaisari (hata kuhisiwa ni kosa!). Sidhani kwa Kiongozi kama Mbowe atakuwa na moral standing ya kusimama na kukemea madudu wafanyayo wengine kama na yeye anafanya hayo hayo. Ni kanuni za uongozi. Ujinga hauhalalishi ujinga. Wizi hauhalalishi wizi.

Kipindi cha nyuma wengi tulijisahau kwa kweli. Na kipindi hiki cha Magufuli watu tutapata wakati mgumu. Huwezi kusema eti serikali inakuonea wakati ni kweli inakudai! cha msingi lipa deni la watu malizana nao. Dawa ya deni ni kulilipa si vinginevyo. Ya Lugumi na mengineyo yana mda wake.
 
Ni karibu mwaka sasa tangu atuahidi Watanzania April 2016 kwamba ataweka salary slip yake hadharani ili kuthibitisha mshahara wake ni 9.5 million kwa mwezi. Naona salary slip yake imeota mbawa. Na hadi hii leo bado anakwepa kulipa kodi.

What African presidents are paid, and why it matters
  1. Paul Biya – Cameroon $601,000
  2. King Mohammed VI – Morocco $480,000
  3. Jacob Zuma – South Africa $272,000
  4. Jakaya Kikwete – Tanzania $192,000
  5. Abdel Aziz Bouteflika – Algeria $168,000
  6. Teodoro Nguema - Equatorial Guinea $150,000 (Estimate)
  7. Uhuru Kenyatta – Kenya $132,000
  8. Hassan Sheikh Mohamoud – Somalia $120,000
  9. Ikililou Dhoinine – Comoros $115,000
  10. Denis Sassou Nguesso – Congo Republic $110,000
10 Highest paid – Relative to GNP

  1. Paul Biya (Cameroon - 229 times average income)
  2. Ellen Johnson Sirleaf (Liberia – 114x)
  3. Jakaya Kikwete (Tanzania – 109x)
  4. Peter Mutharika (Malawi – 100x)
  5. Joseph Kabila (DR Congo – 77x)
  6. Ikililou Dhoinine (Comoros – 74x)
  7. Robert Mugabe (Zimbabwe – 69x)
  8. King Mohammed VI (Morocco – 68x)
  9. Paul Kagame (Rwanda – 59x)
  10. Uhuru Kenyatta (Kenya – 59x)


Hapo sasa!! Rais awe mfano kwa kuweka wazi mshahara wake, marupurupu yake, ili tupate namna ya kumshinikiza juu ya yeye kulipa kodi pia.
 
Kasome post yangu namba 119 katika uzi huu huu Mkuu kuhusu ulipaji wa kodi wa Mbowe.

Sasa Mkuu hiii inahalisha kwamba Mbowe asilipe kodi kama anadaiwa? Mimi naamini Kiongozi wa upinzani ni kama mke wa Kaisari (hata kuhisiwa ni kosa!). Sidhani kwa Kiongozi kama Mbowe atakuwa na moral standing ya kusimama na kukemea madudu wafanyayo wengine kama na yeye anafanya hayo hayo. Ni kanuni za uongozi. Ujinga hauhalalishi ujinga. Wizi hauhalalishi wizi.

Kipindi cha nyuma wengi tulijisahau kwa kweli. Na kipindi hiki cha Magufuli watu tutapata wakati mgumu. Huwezi kusema eti serikali inakuonea wakati ni kweli inakudai! cha msingi lipa deni la watu malizana nao. Dawa ya deni ni kulilipa si vinginevyo. Ya Lugumi na mengineyo yana mda wake.
 
Serikali inadaiwa na TANESCO 125 bilioni. 85 billioni kule Zanzibar na 40 billioni Serikali ya Tanganyika lakini hatuoni juhudi za Serikali kukusanya deni hili kubwa pamoja na Serikali kujua fika hali mbaya ya kifedha inayoikabili TANESCO.
Mkuu serikali kudaiwa ndo kiwe kigezo cha watu kukwepa kodi?
 
Huyo bwa Kenya sijui by uganda ninataka atambue hivi kilichoandikwa na Mungu hakuna awezaye kukifuta esp kama mtu huyo ni mwanadamu ambaye atembeapo pua yake inatazama chini kwenye udongo ilikotoka. Kama Mr God kamwandikia mbowe kuwa tajiri hawawezi kubatilisha. Sawasawa na kama Mr God kamwandikia God bless Lema kuwa Presidwaa wa nchi hii siku moja ni lazima atakuwa tu. Ole wenu nyie mnaojidai mnaijua kesho yenu wakati mwenye siri hiyo ni Bwana God mwenyewe
 
Hakuna asiyetaka Mbowe asilipe kodi lakini cha kushangaza hatuoni juhudi kama hizo za vyombo husika vya sheria kuwafuatilia mafisadi wote hawa ili wapewe mvua za uhakika na ikiwezekana wafilisiwe mali zao kwa ufisadi mkubwa walioufanya nchini. Magufuli mshahara wake kwa mwaka ni 410 million halipi kodi! lakini wanaenda kukamuliwa wenye mishahara ya laki mbili wakati huu mshahara ambao kwa miaka 10 ni sawa na 4.1 billion (kama hautaongezwa) haukatwi hata senti moja ya kodi! Huu ni UNDUMILA KUWILI wa hali ya juu! Msumeno wa MACCM unakata pale wanapohusika watu wa UKAWA tu lakini wa MACCM wanakingiwa kifua kwa visingizio kwamba hataki kufukua makaburi ya zamani!! Hivi ni kipengele kipi cha sheria za nchi au katiba ambacho kimemzuia kufukua makaburi ya zamani?

Mkuu serikali kudaiwa ndo kiwe kigezo cha watu kukwepa kodi?
 
Yaani hata aibu hana! Mshahara wa milioni 410 kwa mwaka kaminya kimyaaaa anakwepa kulipa kodi. Huyu jamaa anashangaza sana mshahara wa 410 million kwa mwaka kila kitu yeye na familia yake anafanyiwa na pesa za walipa kodi kwa maana nyingine mshahara wake hauna kazi lakini hata hajistukii kwamba anataka akate miaka mitano na pato ya 2.5 billion kodi aliyokatwa SIFURI!

Simtetei Mbowe kama anadaiwa alipe kodi..

Lakini namshangaa mkusanya kodi kuvunja sheria za nchi kwa matumizi ya kodi zetu na yeye kutolipa kodi......

Hivi unatoa wapi moral authority ya kumwambia mtu alipe kodi wakati wewe si mlipa kodi?......


Hiyo ndio Tanzania mpya bwana watu walipe kodi lakini sheria za kusimamia kodi zikiukwe .....


Tuchukue pesa za kodi tumpe mtoto Wa shangazi ajenge majengo chato bila tenda kutangazwa wala bunge kupitisha hizo pesa.......
 
Nimeongea kama Mtanzania ambaye ana uhuru wa kikatiba wa kutoa maoni yake hadharani. LOL! Kila mmoja ataguswa kwa wakati wake! Utasubiri sana kuona mafisadi wa lugumi, escrow etc na Wabunge wapiga madili wakiguswa umesahau kauli ya "sifukui makaburi ya zamani" na makaburi ya zamani yote yanawahusu MACCM.
...kama unauhuru wa maoni MBONA unatumia ID fake
 
Kwani wewe Maxence Melo!? Mwenye Forum yake hakuona shida kuruhusu watu kutotumia majina yao, wewe nani humu mpaka uhoji hili!?

...kama unauhuru wa maoni MBONA unatumia ID fake
 
Alipe kodi tu. Maendeleo hayawezi kuja kama watu hawalipi kodi.

Hongera Mh. Rais kwa kupambana na wakwepa kodi. Tunaendelea kukuombea ili ushinde hii vita.
Ukimaliza kumpongeza mwambie nae alipe kodi
 
Kwani wewe Maxence Melo!? Mwenye Forum yake hakuona shida kuruhusu watu kutotumia majina yao, wewe nani humu mpaka uhoji hili!?
..ukiona unatumia ID fake ujue hauko Huru kutoa Maoni,..
 
Hayo ni maoni yako ambayo yanaweza kuwa tofauti na maoni ya wengi. Kwanini basi Viongozi mbali mbali wa Serikali wanakuja humu kwa watu ambao hawako huru kutoa maoni yao!? Wanafuata nini kwenye forum ambayo 99% of the members wanatumia ID fake? Kwanini Serikali iogope JF ambayo 99% ya wanachama wanatumia ID fake? Si waipuuze tu kuiacha iendelee kufanya yake!? Tia akili kichwani.

..ukiona unatumia ID fake ujue hauko Huru kutoa Maoni,..
 
Kwa ivile nyie ndiyo wenye mamlaka, mngemuua kabisa, kwani naona mnamsakama kila kona. Shamba la tangia 1940 leo ndo mnaona anaharibu mazingira! Na ile chato airpot tutainyea mavi one day. Time will tell.
 
Back
Top Bottom