Serikali na unyanyasaji kwa Mbowe

Serikali na unyanyasaji kwa Mbowe

Kwa hiyo mbowe anadaiwa au hadaiwi?Na kama anadaiwa kwa nini halipi?
Una uhakika anadaiwa??Na kama ni siasa utarudi kutetea??Simon Kisena siyo mwizi wa Raslimali zetu na bado imehalalishwa??Au sababu mmoja ni Msukuma na Mwanaccm na mwingine ni Machagga na Mpinzani??? Ubaguzi wanaccm utawarudia wenyewe.
 
Swali! Je hivi vyombo vya ukusanyaji wa mapato vilikuwa wapi, hao watu wa mazingira walikuwa wapi, hao watu wa NHC walikuwa wapi mpaka mtu anakwepa kulipa kodi, pango, anaharibu mazingira kwa muda wote huku mpaka yote yanaanza kushughulikiwa kipindi hiki. Kuna kauzembe kalifanyika hatua zaid zichukuliwe pia kwa wasimamizi wa vyombo hivyo
Hivi shamba lililokuwa linalimwa toka mwaka 1940 halafu la ekari mbili hivi INA kuingia akilini ameharibu mazingira??Hivi Mnajua maeneo yaliyo chini ya Mazingira kwa sasa ni yapi??Mashamba ya familia yaliyokuwa yanimwa Kahawa enzi na enzi Leo yamekuwa anaharibu mazingira?Unajua Machame rafiki??Kuna eneo lolote unaloweza kulitunza kwa ajili ya mazingira zaidi ya Kilimanjaro ??Kama haujui usitetee ujinga
 
Sisi tunalalamika kuongezeka kwa joto kilimanjaro kuzid dar mvua hakuna haya yote ni kutokana na uharibifu wa mazingira kumbe huyu anaejiita kiongoz wa upinzan bungen nayeye n mmoja kat ya waharibifu...
He is bad enough i cant say anythng more
 
Unapomkosoa mwenzio nawe tegemea kukosolewa.

Ama kweli kikwete alikuwa muungwana. Enzi ya Soviet union, mao, NA hata Nyerere ilikua ikiwa unaikosoa siasa zao chipukizi hata kama wanao wanakushtaki viyuoni.
Tumerudi enzi za kodi ya kichwa.Tumeona Leo tunajifanya watakatifu.Tunabariki ufisadi kwa jina la Home boy anawekeza.UDA hiyo haijaguswa ndiyo imebatizwa rasmi ati anayo haki kisa ni home boy na mwanaccm. Mmoja huku ati anapiga vita rushwa na ufisadi thubutu.Bilioni nane hadithi yake ikoje??Ile meli yetu ndiyo imepark rasmi.
 
Sisi tunalalamika kuongezeka kwa joto kilimanjaro kuzid dar mvua hakuna haya yote ni kutokana na uharibifu wa mazingira kumbe huyu anaejiita kiongoz wa upinzan bungen nayeye n mmoja kat ya waharibifu...
He is bad enough i cant say anythng more
Wewe ndiyo hujui Machame bora unyamaze.kimya.
 
Kila mtu ana siku yake,mwambieni Mbowe alipe kodi ,yeye ni kiongozi wa kitaifa bana
Unauhakika hajalipa??Hivi angekuwa hajalipa na jinsi Serikali za CCM zisivyopenda Wapinzani angekuwepo hadi Leo??

Chuki na Ubaguzi zitakuja kuwapa CCM mpaka mseme poo.
 
Kwahiyo unataka sheria ipindishwe kidogo kumpa favor Mbowe, kama hao wengine ambao hawa lipi kodi?.Mimi nafikiri uwataje hao ambao hawalipi kodi, ili nao wabanwe walipe kodi.
Ssababu UDA mmepindisha kwa kulifanya mzawa kumbe home boy na Mwanaccm ,mmehalalisha wizi wa UDA Mnadhani kila MTU ni mwizi.Ubaguzi na Chuki zitakuja kuwapa CCM muda ndiyo utaongea.
 
Wewe ndiyo hujui Machame bora unyamaze.kimya.
Japo sio saaana lkn nmekaa kidog kule kalali hyo hoteli ya mbowe naijua na shamba lake pia nalijua ni kweli amelima karibu na soarce ya mto akiwa anajua kabisa kufanya hvyo ni makosa kisheria... Kwan mbna yule anelima maua kule barabaran yy mbna hasumbuliw...
Hii inaonyesha namna gan wakipewa uongoz watakavyokuwa...
 
wewe si unajitapa humu unahela! nenda kamsaidie boss wako acha porojo zako za migahawani.

Tatizo siyo pesa,shida ni chuki,visasi na Ubaguzi.

Hivi hilo shamba toka mwaka 1940/likilimwa na Mzee Mbowe Leo limekuwa hifadhi ya Mazingira??Shamba ambao ni eneo la nyumba zao Leo limekuwa eneo la Nemc??Aibu hii ya Chuki,Visasi na Ubaguzi zitakuja kuwagharimu
 
Japo sio saaana lkn nmekaa kidog kule kalali hyo hoteli ya mbowe naijua na shamba lake pia nalijua ni kweli amelima karibu na soarce ya mto akiwa anajua kabisa kufanya hvyo ni makosa kisheria... Kwan mbna yule anelima maua kule barabaran yy mbna hasumbuliw...
Hii inaonyesha namna gan wakipewa uongoz watakavyokuwa...
MTO gani uko karibu na Weruweru??Hivi hilo eneo limeanza kulima juzi au Jana??Hivi unayajua maeneo yao ya familia vizuri??Acheni kupotosha umma.
 
Tatizo wanasiasa wengi wako kwenye siasa kama kichaka cha kujifichia, wakiguswa wanatafuta huruma ya wananchi kwamba wanaonewa kwa sababu wako upinzani ila ukweli wengi hawalipi kodi. Mbowe kila sehemu anadaiwa NSSF, NHC,TRA. Serikali iliyopita wapinzani waliinanga sana kwamba ni dhaifu na haikusanyi kodi leo hii inakusanya wanasema wanaonewa utafikiri wao wako juu ya sheria. Mbowe lazima alipe kodi mbona wafanyakazi wanakatwa kodi kila mwezi.
Unaunakika hajalipa?? Hivi kunamfanya biashara asiyediawa TRA??Unajua mapato na malipo ya TRA yanayofanywa kwa.wafanyabiashara??Hivi kuadiwa mkopo ni dhambi??Kama.amekopa na amekiri amekopa na analipa bado kuna dhambi au sababu ni Mwanachama wa upinzani?? Waliokopa CRDB na hawataki kulipa mpaka wanatumia nguvu kupora CRDB nao tiwaeke.wapi??Au sababu ni Wanachama wa CCM??

Ifike mahali tuziache taasisi zetu nifanye kazi kwa.Maadili na si kwa chuki.na Ubaguzi.. Kama unaweza nenda kakope NSSF,NHC usiwe mnakuja kupiga gumzo.tu
 
MTO gani uko karibu na Weruweru??Hivi hilo eneo limeanza kulima juzi au Jana??Hivi unayajua maeneo yao ya familia vizuri??Acheni kupotosha umma.
Acha kutetea uozo ww mazoea ya kufanya kosa hailifany kosa kuwa haki hyo sheria ya mazingira ilipitshwa na bunge hilohilo ambapo mbowe ni mbunge then leo anaendelea kukiuka kwa makusudi watu wamuangalie tu kisa ni kiongz wa upinzan au nn???
 
Kulipa kodi ni lazima....lakin kuna njia ya kulipa kwa awamu hili mfanyabiashara asifilisike...kama kila mtu atalipa kodi...nafikilia itafikia tra kukusanya tilion 3...au 4... kwa mwezi..serikali tafute vyanzo..mfano..walasimishe....biashara zifuatazo..1. Wapiga kiwi wote Tanzania,mama lishe,mpesa wote wanaokaa kwenye miavuli...au vibanda,,..wauzaji jumla wa samaki baada ya kuvua na wauzaji wawekwe sehemu maalumu hili iwe rahisi kujua...wapiga debe na madeleva wa hiace walipe kodi...maana wanatengeneza pesa nyingi bila kulipa kodi.mfano dereva anapata wastani..20000..kwa siku...kwa mwezi ni lake nne...kwa nini asilipe kodi...wakati mwalimu au mfanyakazi anaelipwa laki mbili...viwandani analipa kodi..pia....walasimishwe watalipa tu..walasimishwe...wapo....wafanyabiashara wengi sana hawalipi kodi...ni mawazo yangu tu....taifa ambalo alikusanyi kodi ni taifa corrupt.....
 
Unapokusanya kati ya 1.1 trilioni mpaka 1.4 trillion kwa mwezi kamwe huwezi kushindwa kulipa deni la 125 billion tena kwa mkupuo mmoja kama una nia ya kufanya hivyo.
Huyu mkuu wa wilaya ya hao, ni mnoma, kaza baba hawa jamaa wanafikiri nchi hii ni ya kuvunavuna tu, wamevuna we, wakaona kumbe pia tuwaweza kwenda kula ikulu ee,
Wameona na na akina nani kwenda Ikulu? Elimu kweli muhimu sana nchi hii, wajinga weeeeeengi! wakati mwingine ni bora kunyamaza tu! kuliko kuandika na unaishia kudhalauliwa na wasomaji humu.
 
Acha kutetea uozo ww mazoea ya kufanya kosa hailifany kosa kuwa haki hyo sheria ya mazingira ilipitshwa na bunge hilohilo ambapo mbowe ni mbunge then leo anaendelea kukiuka kwa makusudi watu wamuangalie tu kisa ni kiongz wa upinzan au nn???

Tatizo lako kila unachoambiwa unajua ni ukweli.Ninatoka maeneo hayo ninajua tatizo la ardhi hakuna maeneo yaliyotengwa huko rafiki.

Pili hakuna mito unayofikiria wewe kuna vijito vidogo ambayo wenyeji wanatumia kama vyanzo vya maji na kama hujui vinatunzwa kuliko unavyotunza hiyo mboni yako.

Huko weru weru niambie kuna mto gani mkubwa??Akili nyingine changanya na kuelekezwa.
 
Japo sio saaana lkn nmekaa kidog kule kalali hyo hoteli ya mbowe naijua na shamba lake pia nalijua ni kweli amelima karibu na soarce ya mto akiwa anajua kabisa kufanya hvyo ni makosa kisheria... Kwan mbna yule anelima maua kule barabaran yy mbna hasumbuliw...
Hii inaonyesha namna gan wakipewa uongoz watakavyokuwa...

Sasa huo mto umeonekana mwaka 2017??Kelele nyingi mnashindwa kutatua kero halisi za watanzania.UDA imewashinda mnajidai MAKABURI.

Uozo uko CCM.Wenyeji wa MACHAME tunayaelewa mazingira ya maeneo yetu msidanganye umma.Mko busy kutaka kumfilisi Mbowe hamna lolote wabaguzi wakubwa.
 
Sasa huo mto umeonekana mwaka 2017??Kelele nyingi mnashindwa kutatua kero halisi za watanzania.UDA imewashinda mnajidai MAKABURI.

Uozo uko CCM.Wenyeji wa MACHAME tunayaelewa mazingira ya maeneo yetu msidanganye umma.Mko busy kutaka kumfilisi Mbowe hamna lolote wabaguzi wakubwa.
Mbna unaleta mihemko mkuu... Hili swala limedraw attention koz ni mbowe lkn hata marangu kuna watu yamewatokea kama hayo... Moshi sahv kuna upungufu mkubwa sana wa maji sababu ya watu wanaofanya shughuli zao kwny maeneo ya vyanzo vya maji na misitu ya asili huo uharibifu ndio umetufikisha hapa sio vzr kuwaendekeza hawa watu...
Kuwa mwenyeji wa machame hakuwapi mandate ya kuharibu mazingira ya machame
 
Mbna unaleta mihemko mkuu... Hili swala limedraw attention koz ni mbowe lkn hata marangu kuna watu yamewatokea kama hayo... Moshi sahv kuna upungufu mkubwa sana wa maji sababu ya watu wanaofanya shughuli zao kwny maeneo ya vyanzo vya maji na misitu ya asili huo uharibifu ndio umetufikisha hapa sio vzr kuwaendekeza hawa watu...
Kuwa mwenyeji wa machame hakuwapi mandate ya kuharibu mazingira ya machame
Nimekwambia hivi haya ni siasa chafu tu,hakuna kama hicho kitu.Pole sana.Hao Nemc wasingempa go ahead ya kufanya kilimo hicho kama palikuwa na issue ya mazingira.Kaka tumia akili ya kuzaliwa tu ujue kwamba ni siasa chafu na za ubaguzi.

Siyo mara ya kwanza mkuu wa wilaya hata 'Kippi'alifanya hayo.Alienda kunyang'anya generator za vijana walima vitunguu kwa sababu zisizo na msingi hata baada ya kuelekezwa ila sababu ni vijana wanachama wa upinzani walikuwa hawana haki ya kulima maeneo yao.

Tunajua fika sasa CCM mmekuja na mkakati wa kudumaza uchumi wa Mikoa ya Kaskazini.Kwani usipomtaka mgeni wako unamfanyia vituko mpaka aondoke
 
Mfumo wa ulipaji kodi ulikuwa wa hovyo hovyo Sana, inawezekana kodi jamaa analipa lakini wajanja kumbukumbu walikuwa wanapoteza, hilo pia liangaliwe ili tusiumizane sana hii ni nchi yetu sote.
Unaanzia wapi kuiba kodi anayolipa KUB...???
 
Back
Top Bottom