Bin Chuma75
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 1,003
- 1,102
Kwa nini MBOWE? Tanzania hii ni yeye tu? Nadhani mpaka 2019 ikifika hakuna mpinzani wa ccm.
UMESEMA VZR SANA MKUUMbowe Kama Kiongozi kudaiwa kila kona Si mfano mzuri kumbe Ni mkwepa kodi mzoefu?! Kisha Ni muharibifu WA mazingira. Atawezaje kuikosoa serikali akiwa Na hali hii ?
Mkuu hiyo ndio siasa. You can't beat them,, you join them.Kwa nini MBOWE? Tanzania hii ni yeye tu? Nadhani mpaka 2019 ikifika hakuna mpinzani wa ccm.
Anavyovunja sheria zingine ni sawa! Lakini kuvunja hiyo sheria kwa manufaa ya nchi (kuchangia pato la taifa) mnamtetea kwamba sheria haimruhusu kulipa kodi!! Je, sheria ipi inamruhusu kugawa fedha za 'maendeleo' kinyume na bajeti iliyoidhinishwa na Bunge?Tusikurupuke; sheria inasemaje kuhusu Raisi kulipa kodi. Huwezi kujitolea Sheria eti Raisi afanye utakalo wewe au upinzani.
sijuiMbona hawawatumbui akina Prof Muhongo na Lugumi?
sijuiMbona hawawatumbui akina Prof Muhongo na Lugumi?
Mbowe halipi kodi kabisa na shughuli zake zote zifungwe.Tukiweka mbali mambo ya kisiasa, Mbowe anastahili kulipa kodi kama kiongozi ili kuonesha mfano kwa jamii. Pia alitakiwa kufata taratibu zote za mazingira kabla ya kuendelea na shughuli za kilimo kwenye shamba husika. Lakini naamini kama rekodi zake ziko sahii hapo ni porojo tu.
Acha ufala, unamjua mjomba wangu wewe!!?
Hakuna sehemu niliyo sema achiwe usijibu kama umelewa, tuliza akili
And destroy them from the inner core.. Au unamaanisha nn? Anaeogopa mpinzani ujue ana mapungufu,kwann hutaki watu wakukosoe? Kwamba Tz nzima mfanya biashara ni mbowe peke ake?? Niambie bakhres na zile contema zake yaliishia wapi? Wengne hamfikilii vizuri sababu mimba zenu zilitungwa bola kukusudiwa[emoji41]Mkuu hiyo ndio siasa. You can't beat them,, you join them.
Kwa sababu unatumia makalio kufikili. Utajua vipi sasa Hapo[emoji41]u such a little thinker. Unafanya nn huku Jf?sijui
Public figure ambae ni mfanya biashara peke ake Tz yote hii?? S Ndio. Na kweli mpumbavu bado mmoja peke akoUlitaka wamwanzie mjomba wako ndipo afuate Mbowe???? Tumia akili kufikiri na siyo masaburi yule ni Public figure unajua hilo??
Hivi wewe nikikuuliza toka umekua mpaka sasa umelip kodi Mara ngapi? Wangapi wanA vibanda vyao lakini hawaijui Hata karatas la Tin number ya wakusanya kodi wanaachwa mnakuja kushadadia mboweee. Kwan ye ndie mfanya biashara pekee Tz? Wangapi wamekwepa kodi?? Niambie ile hadithi ya makontena imeishoa wapi?Kama walijua hilo acha dola ifanye kazi yake na siyo kushabikia upumbavu mbowe ni nani nchi hii asilipe kodi kama unaona anaowewa mlipie mjitu mmezoea kulalamika tu kila serikali inapochukulia hatua watu wanaojifanya ni wazalendo kumbe wanafiki wakubwa kama wewe.