Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 729
acheni mzaha kwenye mambo ya msingi huku kanda ya ziwa hakuna mfanyakazi wa serikali kuu aliyepata mshahara ATM zote nil.
acheni mzaha kwenye mambo ya msingi huku kanda ya ziwa hakuna mfanyakazi wa serikali kuu aliyepata mshahara ATM zote nil.
Acha kuleta uzushi na uchonganishi. Mishahara imeshatoka toka juzi
Acha kuleta uzushi na uchonganishi. Mishahara imeshatoka toka juzi
Acha kuleta uzushi na uchonganishi. Mishahara imeshatoka toka juzi
mkuu mi nilidhan ni watumishi wa selikali wilaya ya igunga tu, kumbe na sehem zingine! Huku tunaamin kuchelewesha mishahara inahusiana na uchaguzi mdogo.acheni mzaha kwenye mambo ya msingi huku kanda ya ziwa hakuna mfanyakazi wa serikali kuu aliyepata mshahara ATM zote nil.
Mkuu Mwita mbona watu wengine wanapenda kuleta habari za kikuda namna hiyo? Yaani jamaa kakomaa na watumishi wa serikali huyo? Kama hufanyi kazi serikalini si unyamaze!
Yaani hata mimi nimeshangaa sijui hizo habari kazitoa wapi? Kama buzi lake limemdanganya kwamba halijalipwa atakoma ubishi.
Kwa taarifa yake wengine mishahara karibia tunamaliza yeye ndo anazinduka! Kama halmashauri yake haijamlipa shauri yake.
ukweli ni kwamba mishahara bado halmshauri ya mji kibaha na mkuranga bado kabisa labda jmosi tar 1 ndio itoke. Source mi mwenyewe mtumishi
Labda wewe ni mtumishi wa kufanya usafi kwenye banda la kuku la mkurugenzi kwahiyo amekudanganya ili usiendelee kumdai. Mwambie akulipe mshahara wako wewe
Acha kuleta uzushi na uchonganishi. Mishahara imeshatoka toka juzi