Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
Mpaka sasa watumishi wa sekta nyingi za serikali hawajalipwa mishahara yao, kitu ambacho si kawaida. Tumezoea kulipwa kati ya tarehe 22 - 25 ya kila mwezi lakini sasa tunaingia siku ya mwisho kabisa ya mwezi na hakuna hata dalili, napenda kujua wadau, AU NDO PESA ZETU ZIMEENDA IGUNGA? maana nasikia CCM wametumia karibu 10bl kwa ajili ya ukaguzi. Naomba majibu kwa atakaye kuwa nayo. Asante
Upo wapi serikali za mitaa au serikali kuu? Sisi wa mitaa tumeshamaliza mishahara ya Septemba, au unamaanisha mishahara ya Oktoba?