Serikali na mishahara ya Septemba 2011

Nawashangaa mnaobisha mishahara mpaka jana mzigo ulikua bilabila halafu mijitu mingine inabisha,hivi mnatumwa kupinga kila kitu humu ndani wakati watu mambo hayajakaa sawa? Acheni Uzoba nyie kuitetea serikali hii legelege
 
Tusiandike post kishabiki. Unaposema mishahara imepelekwa Igunga unamaanisha nini? Una uhakika?
Tujaribu kufanyia uchunguzi tunachotaka kukipost. Sio unakurupuka na "hangover" zako, unapost.

Mzee wewe unafikiri zimeenda wapi pesa za watumishi? Jamaa amefikiri hvyo ww fikra zako ni zipi?
 
Labda wewe ni mtumishi wa kufanya usafi kwenye banda la kuku la mkurugenzi kwahiyo amekudanganya ili usiendelee kumdai. Mwambie akulipe mshahara wako wewe
Mkuu hivi unatetea kitu gani humu JF kwa kuvuruga mtiririko wa taarifa zinazotoa picha ya hali halisi hapa nchini? Hata kama unaamini kwamba unafaidika na mfumo uliopo je ni kweli kwamba uwezo wako wa kiakili haukuwezeshi kuona zaidi ya urefu wa pua yako? You are as it is a disgrace to your community
 
Tusiandike post kishabiki. Unaposema mishahara imepelekwa Igunga unamaanisha nini? Una uhakika?
Tujaribu kufanyia uchunguzi tunachotaka kukipost. Sio unakurupuka na "hangover" zako, unapost.

we pia hueleweki au hangover ya chang'aa kama unabisha leta hapa ukweli unakodhani pesa zimepelekwa.
 
Mishahara imeanza kulipwa sehemu mbalimbali,lakini kiukweli imechelewa isivyo kawaida!sijui tatizo ni nini!
 
Labda wewe ni mtumishi wa kufanya usafi kwenye banda la kuku la mkurugenzi kwahiyo amekudanganya ili usiendelee kumdai. Mwambie akulipe mshahara wako wewe

cshangai kwa sababu payroll lako liko kwa nape ndo kutwa nzima upo humu jamvini
 
Acha kuleta uzushi na uchonganishi. Mishahara imeshatoka toka juzi
wewe na wenzako mlio karibu na jiko ndiye uliyepata toka juzi sisi bado. Unakanusha kitu wakati wenzako huku tuliko tunaumia. acha kuleta utani ktk masuala yasiyohitaji mzaha
 
Hadi dakika hii hakuna mtumishi wa serikali kuu(central government) au serikali za mitaa(local government) ambaye ameshalipwa mshahara wake wa mwezi september nchi nzima,hii ni kinyume cha sera ya serikali kuwa watumishi wote wa umma wanatakiwa kuwa wameshalipwa mishahara yao kabla ya tarehe 25 ya kila mwezi.

Wadadisi wa mambo wanasema pesa ya mishahara itakuwa imekopeshwa ama kupewa ccm ili zitumike katika kampeni za huko Igunga.
Kuna miezi 3 ya nyuma huko serikali ilikopa pesa kwa ajili ya kulipa watumishi wake(source: Zitto Kabwe na Mkulo alishindwa kukanusha) hasa waalimu,manesi na madaktari,
sasa huenda kupelekwa Igunga kwa mishahara hiyo ikawa ni uzushi na ukweli ukawa serikali haina pesa na haijapata nchi,kampuni au mtu wa kukopa.

Hii ni aibu na kukosa uwajibikaji wa rais wetu.

Acha uongo wewe, mi ni m2mishi wa central gov na nimepokea mshahara VIA CRDB tangu tarehe 22.
 
Acha uongo wewe, mi ni m2mishi wa central gov na nimepokea mshahara VIA CRDB tangu tarehe 22.
ndiyo maana wengine wanasema mnatumwa kupost upupu humu ndani ya JF. wenzako tunasema hatujapata wewe unatoa majibu ya jumla jumla, toa majibu kisayansi, kwani ukisikia kuna ugonjwa TZ utasema TZ nzima ugonjwa umeenea, hivyo kama umepata ww usiseme wote wamepata. Ukiona wenzako tunalalamika we mean it hali ni mbaya
 
Hadi dakika hii hakuna mtumishi wa serikali kuu(central government) au serikali za mitaa(local government) ambaye ameshalipwa mshahara wake wa mwezi september nchi nzima,hii ni kinyume cha sera ya serikali kuwa watumishi wote wa umma wanatakiwa kuwa wameshalipwa mishahara yao kabla ya tarehe 25 ya kila mwezi.

Wadadisi wa mambo wanasema pesa ya mishahara itakuwa imekopeshwa ama kupewa ccm ili zitumike katika kampeni za huko Igunga.
Kuna miezi 3 ya nyuma huko serikali ilikopa pesa kwa ajili ya kulipa watumishi wake(source: Zitto Kabwe na Mkulo alishindwa kukanusha) hasa waalimu,manesi na madaktari,
sasa huenda kupelekwa Igunga kwa mishahara hiyo ikawa ni uzushi na ukweli ukawa serikali haina pesa na haijapata nchi,kampuni au mtu wa kukopa.

Hii ni aibu na kukosa uwajibikaji wa rais wetu.

Aibu, soni kwako mwenye kwa ubazazi wako, umechemka kabuni jungu jingine la kuichafua Serikali. Sasa ninaanza kuamini kwamba thread nyingi za humu JF zinazotolewa na wanasiasa na wafuasi wa siasa uchwara wa Chadema huwa ni feki, majungu na zilizojaa hisia zenye mawazo mgando na yaliyochacha. Kura za Wanaigunga haziombwi kwa uongo. Hili linathibitisha kwamba hata sera zenu ni za uongo, kufikirika na kusadikika na kwa mantiki hiyo CCM inawabwaga kesho IGUNGA.
 
wengine huku chuo kikuu baado kabisa. msibeze hili jamani nchi iko matatani
 
wengine huku chuo kikuu baado kabisa. msibeze hili jamani nchi iko matatani

Nchi haipo matatani na habezwi mtu. Atabezwa kama anaandika pumba na utumbo kama Sambega, kama kuna sehemu hawajapata mishahara basi wawaulize wanaotakiwa kuwapa mishahara, ofisi zote wamepewa mishahara. Matata mnataka kuyaleta ninyi kwa kuchonganisha watu wasio kwenye payroll ya Serikali waamini kwamba hakuna mishahara na kukosa imani na Serikali. Kuweni wazalendo na wakweli kura za Igunga zisiondoe amani iliyopo.
 
Nchi haipo matatani na habezwi mtu. Atabezwa kama anaandika pumba na utumbo kama Sambega, kama kuna sehemu hawajapata mishahara basi wawaulize wanaotakiwa kuwapa mishahara, ofisi zote wamepewa mishahara. Matata mnataka kuyaleta ninyi kwa kuchonganisha watu wasio kwenye payroll ya Serikali waamini kwamba hakuna mishahara na kukosa imani na Serikali. Kuweni wazalendo na wakweli kura za Igunga zisiondoe amani iliyopo.
inawezekana hii ndiyo kazi yako kukanusha ukweli, maana wengine mna akili ya makengeza, unataka kutuambia kuwa wahasibu mwezi huu wamekuwa wazembe kiasi hicho, acha dharau WEWE, hatujapata mishahara na wenye nyumba wanadai KODI ZAO. nimesikitika sana kuona tuna watu ambao hoja zao ni za jumla jumla kama ww I HAVE TO QUESTION UR LEVEL OF UNDERSTANDING, Na kama umesoma basi uko kwenye kundi la watu ambao wana poor analysis ya issues. Pia kama umetumwa nakupongeza kwa kuukataa ukweli
 
Nimesoma maoni ya wengi kwenye thread hii.Wengi mnaitetea serikali ya magamba,huku kanda ya ziwa watu hawajapata mshahara.Nimeongea na jamaa yangu yuko songea nao hawajapata.MNAWATETEA NN SERIKAL LEGELEGE
 
Nimesoma maoni ya wengi kwenye thread hii.Wengi mnaitetea serikali ya magamba,huku kanda ya ziwa watu hawajapata mshahara.Nimeongea na jamaa yangu yuko songea nao hawajapata.MNAWATETEA NN SERIKAL LEGELEGE

Suala si kuitetea Serikali, ni kuzungumza ukweli Kanda ya Ziawa si nchi nzima na siamini hoja yako kwa sababu kuna watu wengi ninawafahamu huko wamelipwa mishahara. AKILI YAKO NDIO LEGELEGE SI SERIKALI hususan kwa jambo hili. Kibaya zaidi unahusisha suala hili na uchaguzi mdogo wa Igunga. Shame on u.
 
Wa2 hatujapata mishahara mpk leo acheni kuitetea serikal wkt ni kwel wa2 kila cku wapo kwny ATM kama nyie mmepata ni wale walamba miguu ya magamba
 
Back
Top Bottom