kwanini kama ni mishahara mipya ichelewe?
Yeyote mwenye Taarifa tayar imeachiwa au bd?
nini maana ya bd?
pesa za mishahara zilipelekwa igunga wakuu! sasahivi serikali inahaha jinsi ya kuzi-replace, muendelee kuvuta subira tu, labda kwenye tarehe 15 hivi mambo yatakuwa sawa!
Hadi dakika hii hakuna mtumishi wa serikali kuu(central government) au serikali za mitaa(local government) ambaye ameshalipwa mshahara wake wa mwezi september nchi nzima,hii ni kinyume cha sera ya serikali kuwa watumishi wote wa umma wanatakiwa kuwa wameshalipwa mishahara yao kabla ya tarehe 25 ya kila mwezi.
Wadadisi wa mambo wanasema pesa ya mishahara itakuwa imekopeshwa ama kupewa ccm ili zitumike katika kampeni za huko Igunga.
Kuna miezi 3 ya nyuma huko serikali ilikopa pesa kwa ajili ya kulipa watumishi wake(source: Zitto Kabwe na Mkulo alishindwa kukanusha) hasa waalimu,manesi na madaktari,
sasa huenda kupelekwa Igunga kwa mishahara hiyo ikawa ni uzushi na ukweli ukawa serikali haina pesa na haijapata nchi,kampuni au mtu wa kukopa.
Hii ni aibu na kukosa uwajibikaji wa rais wetu.
Acha kuleta uzushi na uchonganishi. Mishahara imeshatoka toka juzi
Hata mimi namshangaa huyu mkuu, ATM zilishatema loongi.
Vitegemezi vina matatizo sana. Vijitu vyenyewe bado vinakula kwa mama eti navyo vinalalamika mshahara umechelewa.
acha uzushi wewe mimi mshahara wa september nimepata tangu jumamosi wiki iliyopita tarehe 24/9/2011Hadi dakika hii hakuna mtumishi wa serikali kuu(central government) au serikali za mitaa(local government) ambaye ameshalipwa mshahara wake wa mwezi september nchi nzima,hii ni kinyume cha sera ya serikali kuwa watumishi wote wa umma wanatakiwa kuwa wameshalipwa mishahara yao kabla ya tarehe 25 ya kila mwezi.
Wadadisi wa mambo wanasema pesa ya mishahara itakuwa imekopeshwa ama kupewa ccm ili zitumike katika kampeni za huko Igunga.
Kuna miezi 3 ya nyuma huko serikali ilikopa pesa kwa ajili ya kulipa watumishi wake(source: Zitto Kabwe na Mkulo alishindwa kukanusha) hasa waalimu,manesi na madaktari,
sasa huenda kupelekwa Igunga kwa mishahara hiyo ikawa ni uzushi na ukweli ukawa serikali haina pesa na haijapata nchi,kampuni au mtu wa kukopa.
Hii ni aibu na kukosa uwajibikaji wa rais wetu.