kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,871
- Thread starter
- #21
Ndiyo maana nilisema serikali na makampuni yatakosa kipato (nikaweka neno under ceteris peribus/ other things remain constant) kwa maana kwamba ukipunguza gharama tunategemea wateja waongezeke hivyo kipato kinaongezeka lakini kama utapunguza halafu wateja wasiongezeke (other things remein constant) utapata hasara au kupunguza kipatoKwa upande mwingine, kibiashara, kushusha bei ya bidhaa humfanya mtumiaji kutumia zaidi na matokeo ni faida kwa muuzaji kifedha na kihisia, kwani Mteja huhisi kuthaminiwa.