muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,525
- 10,160
Walikuwa wanapokea hongo?.Nimelikumbuka sakata la kiwanda cha aina hiihii kiitwacho Shujaa cha Shinyanga kilivyowatoa ngeu Meneja wa TRA Mkoa na RPC wa mkoa ule kwa kashfa ya aina hiihii.