Nawasalimu ..Tuchepuke kidogo na bandari halafu turudi.
Hakuna namna misitu itakwisha tu bila kuweka mbele kipau hiki cha nishati..madhara yake hatuwezi kuyaona leo na utakuta ikifika kiangazi ndio tunaanza kulialia na mvua tunaanza vikao na mikutano ya kujadili hali ya hewa..mvua zikianza tunaacha..
Ile kamati ya kujadili hili suala la nishati sijui imefikia wapi.
Tuache siasa kwenye mambo ya msingi jamani tutakwisha..Sàsa unazuia mtema kuni asikate kuni atapikia nini..unazuia asikate miti kuchoma mkaa umempa mbadala gani wa hiyo nishati yake ya asili.
Sitaki kuandika mengi suala linaeleweka formula inaeleweka wachumi wapo tusifanye siasa siku hizi hakuna kata mti panda mti
tusidanganyane sàsa hivi ni kata miti kwa kwenda mbele fagia misitu.
Bei ya angalau 10,000 kwa mtungi mdogo kujaza gesi wananchi walio wengi wanaweza kumudu angalau kupunguza tatizo na sio kumalizia kabisa wakati huo misitu inapona..
Tumeanza kiangazi ikifika mwezi wa kumi balaa linaanza mara tanesco mgao mara dawasco nao wanafanya yao sijui nani wengine..hasa jiji la Dar ndio shida sana.Majenereta mtaani kelele tupu utafikiri tupo kiwandani.Sasa hivi tumesahau hizi shida.
Dunia ya leo kuwashiwa umeme kwa kupangiwa ni aibu sana..
Nawakumbusha tu mwezi wa kumi sio mbali.Tujipange mapema kabla ya kuanza kulialia.
Hakuna namna misitu itakwisha tu bila kuweka mbele kipau hiki cha nishati..madhara yake hatuwezi kuyaona leo na utakuta ikifika kiangazi ndio tunaanza kulialia na mvua tunaanza vikao na mikutano ya kujadili hali ya hewa..mvua zikianza tunaacha..
Ile kamati ya kujadili hili suala la nishati sijui imefikia wapi.
Tuache siasa kwenye mambo ya msingi jamani tutakwisha..Sàsa unazuia mtema kuni asikate kuni atapikia nini..unazuia asikate miti kuchoma mkaa umempa mbadala gani wa hiyo nishati yake ya asili.
Sitaki kuandika mengi suala linaeleweka formula inaeleweka wachumi wapo tusifanye siasa siku hizi hakuna kata mti panda mti
tusidanganyane sàsa hivi ni kata miti kwa kwenda mbele fagia misitu.
Bei ya angalau 10,000 kwa mtungi mdogo kujaza gesi wananchi walio wengi wanaweza kumudu angalau kupunguza tatizo na sio kumalizia kabisa wakati huo misitu inapona..
Tumeanza kiangazi ikifika mwezi wa kumi balaa linaanza mara tanesco mgao mara dawasco nao wanafanya yao sijui nani wengine..hasa jiji la Dar ndio shida sana.Majenereta mtaani kelele tupu utafikiri tupo kiwandani.Sasa hivi tumesahau hizi shida.
Dunia ya leo kuwashiwa umeme kwa kupangiwa ni aibu sana..
Nawakumbusha tu mwezi wa kumi sio mbali.Tujipange mapema kabla ya kuanza kulialia.