M
WanaJF.
Kwa kile ambacho naona kimetokea ni kwamba. Serikali kupitia DailyNews TSN wameanzisha forum yao.
Link hii hapa:
http://forum.dailynews.habarileo.co.tz
anybody has a news on why it has started JUST NOW?
Nimemuona na kada mpinzani naye yumo!
Kwi kwi kwi kwi!!!
Mimi nimemuona na FD yumo!