professional ethics
Senior Member
- Dec 24, 2023
- 108
- 352
Ukipitia threads mbalimbali hapa JF,
Unaweza dhani Wana JF wana upendo kwa taifa na vijana, binafsi nilikuwa naona JF ni jukwaa mahususi kwa kuwejenga vijana na taifa bora.
Jambo la ajabu sana, siku ya jana nimepost Uzi juu appreciation yangu kwa Dkt. Haya Land, WanaJF wengi wameni-attack na kuniita chawa, jambo la ajabu sana. Kwanini mnakuwa na wivu, chuki na ubinafsi kiasi hicho?
Unaweza dhani Wana JF wana upendo kwa taifa na vijana, binafsi nilikuwa naona JF ni jukwaa mahususi kwa kuwejenga vijana na taifa bora.
Jambo la ajabu sana, siku ya jana nimepost Uzi juu appreciation yangu kwa Dkt. Haya Land, WanaJF wengi wameni-attack na kuniita chawa, jambo la ajabu sana. Kwanini mnakuwa na wivu, chuki na ubinafsi kiasi hicho?