Nguva Jike
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 857
- 1,006
Habari za asubuhi wadau.
Naomba mtu yoyote mwenye ushuhuda wa jambo lililoandikwa JF likafuatiliwa na viongozi wa serikali.
Nahisi kama viongozi wa serikali hawana muda wa kufuatilia yanayoandikwa JF.
Karibuni.
Naomba mtu yoyote mwenye ushuhuda wa jambo lililoandikwa JF likafuatiliwa na viongozi wa serikali.
Nahisi kama viongozi wa serikali hawana muda wa kufuatilia yanayoandikwa JF.
Karibuni.