Serikali kupitia Wizara ya Ardhi yatoa Orodha ya Viwanja Vilivyobatilishwa na Rais

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Jul 24, 2021
576
1,626
Kamishna Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi anawatangazia wanachi kuwa wamiliki wa viwanja na mashamba kwenye orodha hii milki zao zimebatilishwa kwa mujibu wa Sheria ya Ardhi No. 4 Sura ya 113 kwa amri ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kuanzia tarehe 3 na 8 Agost 2022.

taarifa ardhi.jpg
taarifa ardhi 1.jpg
taarifa ardhi 2.jpg


Mwananchi
 

Attachments

  • Viwanja_Vilivyobatilishwa_na_Rais,_Mwananchi,_23_02_2023,_p_23_25.pdf
    2.2 MB · Views: 13
Kabla ya kununua kiwanja kwa Dar inatakiwa kufanya uchunguzi kwanza, vinginevyo unanua matatizo
 
Kamishna Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi anawatangazia wanachi kuwa wamiliki wa viwanja na mashamba kwenye orodha hii milki zao zimebatilishwa kwa mujibu wa Sheria ya Ardhi No. 4 Sura ya 113 kwa amri ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kuanzia tarehe 3 na 8 Agost 2022.

View attachment 2527962View attachment 2527964View attachment 2527965

Mwananchi
Hii kitu imekaa kimchongo simuamini huyo kamishna ni jambazi wa viwanja vya watu mbona hamma hata kimoja cha Kigamboni??
 
Back
Top Bottom