Serikali kumfunga Sugu was a political mistake!

Serikali kumfunga Sugu was a political mistake!

Wewe sio ccm ndio maana unadhani huyo mkora amepata heshima kwa kwenda jela. Kazi za heshima zinataka watu wanaojiheshimu. Watu wajue mtu mkora hafai kua mbunge. Ni watu wachache sana tu wanaona sawa kumtukana na kumkejeli rais wa jamhuri. Wala Sugu hajafungwa na serikali wala ccm. Amefungwa na sheria.
HUYU NI CCM DAMU KULIKO WEWE UNAYEROPOKA HAPA.........TATIZO HAMTAKI KUAMBIWA UKWELI
 
sasa sijui hizi sheria zitakuwa na maana yeyote kama zitakua zinachagua..

Katiba yenyewe Inasema utekelezaji wa sheria usibague..

sasa sijui hapo mleta mada unatuambia nini??
Anamaanisha hata akina Lusinde wafungwe sio Sugu tu
 
Nia ya hii mada si kumshngilia Sugu, bali kufanya postmortem ya sakata lenyewe la yeye kufungwa.
Lets not lose the sight of the ball!

Moja imemwongezea umaarufu(kufungwa na si kutukana)

Pili, chama tawala hakija faidika lolote na kitendo hicho.
Hizo ndo issues
 
pale Mbeya Sugu hang'oki hata kwa scud.

vijana wa Mbeya (60% ya voters) huwaambii chochote kuhusu Sugu rais wao.
plus the fact that they abhor CCM with unspeakable passion!!

na hivi prof Mwandosya anaonekana kum support ndiyo kabisaa.
Siku hz Sugu hana ushabiki kama miaka ya nyuma. Hata ubunge hatapata kwa taarifa yako
 
Unajuwa ni kwa nini Magufuli kageuzia Iringa kwenye ziara yake?

Ratiba ilikuwa aende Mbeya, Ruvuma na Mtwara na Lindi.

Kaeni mnajidanganya tu.
Ratiba ya ziara imeisha wiki sasa, Sugu katoka jana ,sasa tupe ni kipi kilimzuia kwenda Mbeya.
 
Ww ni mkenya nn? Mkora ndo KTU gan maana wakenya ndo wanaongeaga kiswahil cha ajabu ajabu wakija tz wakijidai wanajua siasa za tz na kuacha za kwao?
Angalia kamusi weweee ujue mkora ni nani
 
Tatizo mumezoea kusema uongo hadi mnaamini ndio kweli
Mkuu sisi wengine ni CCM damu damu, na si CCM maslahi kama ninyi.
Tupo CCM kuendeleza principles alizoanzisha Mwalimu, na tungependa zidumu ili chama kiwe cha afya.
Kwamba wengine hawasemi na kutoa ushauri sio kwamba hawakereki, hapana ila hawapendi kukiona chama kikiingia kwenye migogoro isiyo ya lazima baina ya wanachama.
Na tusisahau kuwa Tanzania ni moja , watu wake ni wamoja, licha ya vyama.
Sisi tumo CCM toka chipukizi na tumecheza magwaride kuwaenzi viongozi wetu.

Huu uwanda wa kutoa maoni ni wazo tu, nyie CCM Maslahi mnaweza kuuchukua ushauri au kuuacha.
 
pale Mbeya Sugu hang'oki hata kwa scud.

vijana wa Mbeya (60% ya voters) huwaambii chochote kuhusu Sugu rais wao.
plus the fact that they abhor CCM with unspeakable passion!!

na hivi prof Mwandosya anaonekana kum support ndiyo kabisaa.
Isijetokea tu kuwa 2020 Sugu sio mgombea.
Kwenye siasa kuna mengi.
 
Mnataka kutimiza ile azma yenu ya kum-pyu pyu?
Acha upuuzi.
Ulimwona Dr. Mollel pale Siha?
Jamaa alikuwa na sapoti kubwa sana ya Chadema pale.
Ila "akaunga mkono" juhudi za JPM.
Sasa kashinda tena na ndo jimbo pekee sijasikia chadema wanalilia kuibiwa kura.
 
Acha upuuzi.
Ulimwona Dr. Mollel pale Siha?
Jamaa alikuwa na sapoti kubwa sana ya Chadema pale.
Ila "akaunga mkono" juhudi za JPM.
Sasa kashinda tena na ndo jimbo pekee sijasikia chadema wanalilia kuibiwa kura.
Wewe ndiyo mpuuzi tena wa kiwango cha PhD, punga mkubwa.
 
Back
Top Bottom