Serikali kumfunga Sugu was a political mistake!

Serikali kumfunga Sugu was a political mistake!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
18,284
Reaction score
30,158
Mimi ni mwana CCM, tena natembelea sana huko Mbeya.

Kwa kusema ukweli, kumfunga Sugu imemuongezea sana umaarufu.
Mbaya zaidi kitendo hicho hakijaiongezea CCM umaarufu kanda hii.

Sipendi viongozi wakitukanana hadharani, lakini thats part of politics, ila hi drastic action sana sana Sugu amejijengea public sympathy na mwishowe yeye ndo anaonekana kaonewa kisiasa.
Hiyo public sympathy inageuzwa kuwa political strength.

Tujifunze.
 
Hilo liko wazi kabisa!!

Hata baadhi ya wana-CCM hili limewaumiza.

Alafu mbona wapinzani wanatukanwa tu na kudhalilishwa kila siku majukwaani tangu wakati wa kampeni mpaka leo hii?

Na nani kila siku anakejeli wengine?

Nani aliita watoto wa masikini vilaza?

Nani aliita wasaidi wake wapumbavu hadharani?

Tabu sana kwakweli!!
 
Tuendelee kusubiri ninaanza kuhisi kuwa 2020 tutaona mambo ambayo hatujawahi kuyaona na kwa kuwa mengi yatakuwa mageni watz pia watabehave kigenigeni. Na IATA matokeo yatakuwa ua kigenigeni. Chao
Mkuu hilo ni chamtoto, kuna swala la usalama na uchumi linatugusa kwa uchungu sisi wananchi wa kawaida
 
Mimi ni mwana CCM, tena natembelea sana huko Mbeya.

Kwa kusema ukweli, kumfunga Sugu imemuongezea sana umaarufu.
Mbaya zaidi kitendo hicho hakijaiongezea CCM umaarufu kanda hii.

Sipendi viongozi wakitukanana hadharani, lakini thats part of politics, ila hi drastic action sana sana Sugu amejijengea public sympathy na mwishowe yeye ndo anaonekana kaonewa kisiasa.
Hiyo public sympathy inageuzwa kuwa political strength.

Tujifunze.
pale Mbeya Sugu hang'oki hata kwa scud.

vijana wa Mbeya (60% ya voters) huwaambii chochote kuhusu Sugu rais wao.
plus the fact that they abhor CCM with unspeakable passion!!

na hivi prof Mwandosya anaonekana kum support ndiyo kabisaa.
 
Lema mwenyewe alifungwa..kama watavunja sheria kisha wataogopwa sijui litakuwa taifa la aina gani..yaani maana yake waachwe watukane watakavyo..si nchi itakuwa kilabu cha pombe za kienyeji

Sheiza,
Hebu sema kidogo tu unachokijua. Huyu bwana (Joseph Mbilinyi a. k. a Sugu) alivunja sheria gani kweli?

Inawezekana na najua utasema alitukana na tena siyo kutukana tu bali alimtukana Rais wenu, Pombe.... !

Well. Ukijibu hivyo, hebu weka na tusi/matusi aliyotukanwa huyu "Mtakatifu" bandia
 
pale Mbeya Sugu hang'oki hata kwa scud.

vijana wa Mbeya (60% ya voters) huwaambii chochote kuhusu Sugu rais wao.
plus the fact that they abhor CCM with unspeakable passion!!
Ndio maneno yenu ya mitandaoni..hata mwanzo mlisema akitiwa ndani patachimbika matokeo yake tukaona karandinga inaondoka na sugu bila hata ffu..na maandamano ya mange mkayakacha..maana tulihisi hasira mtahamishia kwenye maandamano
 
Back
Top Bottom