SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 50,081
- 75,446
Maelekezo toka juu yanaanza kuitafuna CCM mdogo mdogo.
Wacha siasa iitwe siasa kama sheria ilivyo sheria.Simama kwenye facts usipotoshe umma.
Sugu alivunja sheria inayoitwa " insulting language c/s 89 (1) of the Penal Code" . Nchi hii inaendeshwa kwa sheria siyo kwa mihemko na mahaba. Mtu akivunja sheria hata awe nani au anapendwa kiasi gani sheria lazima ichukue mkondo wake. Kutokujua kwenu Sheria kusiwafanye mhalalishe makosa yanayofanywa na viongozi wenu.Sheiza,
Hebu sema kidogo tu unachokijua. Huyu bwana (Joseph Mbilinyi a. k. a Sugu) alivunja sheria gani kweli?
Inawezekana na najua utasema alitukana na tena siyo kutukana tu bali alimtukana Rais wenu, Pombe.... !
Well. Ukijibu hivyo, hebu weka na tusi/matusi aliyotukanwa huyu "Mtakatifu" bandia
Inaendeshwa na sheria zilizo kwenye kichwa cha mgonjwaSugu alivunja sheria inayoitwa " insulting language c/s 89 (1) of the Penal Code" . Nchi hii inaendeshwa kwa sheria siyo kwa mihemko na mahaba. Mtu akivunja sheria hata awe nani au anapendwa kiasi gani sheria lazima ichukue mkondo wake. Kutokujua kwenu Sheria kusiwafanye mhalalishe makosa yanayofanywa na viongozi wenu.
Tukumbushe Lema alifungwa kifungo kipi?Lema mwenyewe alifungwa..kama watavunja sheria kisha wataogopwa sijui litakuwa taifa la aina gani..yaani maana yake waachwe watukane watakavyo..si nchi itakuwa kilabu cha pombe za kienyeji
Sheria zinatungwa na bunge, kutafsiriwa na Mahakama na kusimamiwa na vyombo vya dola kwa maana ya Utekelezaji wake. Hakuna mtu mwingine yoyote nje ya vyombo hivyo mwenye wajibu wa kutekeleza majukumu hayo. Sasa huo ugonjwa inawezekana upo kwa nyinyi msiojua kutafsiri sheria. Kejeli hazisaidii kupindisha ukweli.Inaendeshwa na sheria zilizo kwenye kichwa cha mgonjwa
Kwa maono ya ndoto kwa mtukufu kurest in pisi.Tukumbushe Lema alifungwa kifungo kipi?
Na wewe fanya makosa ufungwe ili uwe maarufu kama kufungwa magarezani ni kuongezewa umaarufuMimi ni mwana CCM, tena natembelea sana huko Mbeya.
Kwa kusema ukweli, kumfunga Sugu imemuongezea sana umaarufu.
Mbaya zaidi kitendo hicho hakijaiongezea CCM umaarufu kanda hii.
Sipendi viongozi wakitukanana hadharani, lakini thats part of politics, ila hi drastic action sana sana Sugu amejijengea public sympathy na mwishowe yeye ndo anaonekana kaonewa kisiasa.
Hiyo public sympathy inageuzwa kuwa political strength.
Tujifunze.
Na 1.5 Trillion zinapoyeyuka sheria inasemaje?Sugu alivunja sheria inayoitwa " insulting language c/s 89 (1) of the Penal Code" . Nchi hii inaendeshwa kwa sheria siyo kwa mihemko na mahaba. Mtu akivunja sheria hata awe nani au anapendwa kiasi gani sheria lazima ichukue mkondo wake. Kutokujua kwenu Sheria kusiwafanye mhalalishe makosa yanayofanywa na viongozi wenu.
Duuuu basi Tulia atakua na kazi sana 2020Ni kweli kabisa, kumfunga was a mistake ambayo imemuongezea umaarufu.
Ninachokiona Mimi ni kwamba anapokuwa anaongea Kiongozi yeyote wa upinzani, kuna watu wanakuwa wanafuatilia ili wapate tu neno lolote ambalo linaweza kumtia hatiani.Sugu alivunja sheria inayoitwa " insulting language c/s 89 (1) of the Penal Code" . Nchi hii inaendeshwa kwa sheria siyo kwa mihemko na mahaba. Mtu akivunja sheria hata awe nani au anapendwa kiasi gani sheria lazima ichukue mkondo wake. Kutokujua kwenu Sheria kusiwafanye mhalalishe makosa yanayofanywa na viongozi wenu.
Ww ni mkenya nn? Mkora ndo KTU gan maana wakenya ndo wanaongeaga kiswahil cha ajabu ajabu wakija tz wakijidai wanajua siasa za tz na kuacha za kwao?Wewe sio ccm ndio maana unadhani huyo mkora amepata heshima kwa kwenda jela. Kazi za heshima zinataka watu wanaojiheshimu. Watu wajue mtu mkora hafai kua mbunge. Ni watu wachache sana tu wanaona sawa kumtukana na kumkejeli rais wa jamhuri. Wala Sugu hajafungwa na serikali wala ccm. Amefungwa na sheria.
IndeedDont be naive, be real!
Ukisoma siasa ndo utaelewaMimi ni mwana CCM, tena natembelea sana huko Mbeya.
Kwa kusema ukweli, kumfunga Sugu imemuongezea sana umaarufu.
Mbaya zaidi kitendo hicho hakijaiongezea CCM umaarufu kanda hii.
Sipendi viongozi wakitukanana hadharani, lakini thats part of politics, ila hi drastic action sana sana Sugu amejijengea public sympathy na mwishowe yeye ndo anaonekana kaonewa kisiasa.
Hiyo public sympathy inageuzwa kuwa political strength.
Tujifunze.
Mkuu Lema alifungwa kifungo cha muda gani?Lema mwenyewe alifungwa..kama watavunja sheria kisha wataogopwa sijui litakuwa taifa la aina gani..yaani maana yake waachwe watukane watakavyo..si nchi itakuwa kilabu cha pombe za kienyeji
Mahakama zinafunga wapinzani kwa maagizo ya jiweSerikali haifungi mtu bali mahakama
Mwambie atukane tena ili tumuongezee umaarufuMimi ni mwana CCM, tena natembelea sana huko Mbeya.
Kwa kusema ukweli, kumfunga Sugu imemuongezea sana umaarufu.
Mbaya zaidi kitendo hicho hakijaiongezea CCM umaarufu kanda hii.
Sipendi viongozi wakitukanana hadharani, lakini thats part of politics, ila hi drastic action sana sana Sugu amejijengea public sympathy na mwishowe yeye ndo anaonekana kaonewa kisiasa.
Hiyo public sympathy inageuzwa kuwa political strength.
Tujifunze.