Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,863
- 3,058
Waliomtukana Yesu walifanywa nini?Lema mwenyewe alifungwa..kama watavunja sheria kisha wataogopwa sijui litakuwa taifa la aina gani..yaani maana yake waachwe watukane watakavyo..si nchi itakuwa kilabu cha pombe za kienyeji