Serikali kumfunga Sugu was a political mistake!

Serikali kumfunga Sugu was a political mistake!

Lema mwenyewe alifungwa..kama watavunja sheria kisha wataogopwa sijui litakuwa taifa la aina gani..yaani maana yake waachwe watukane watakavyo..si nchi itakuwa kilabu cha pombe za kienyeji
Sheria ipi
 
Mimi ni mwana CCM, tena natembelea sana huko Mbeya.

Kwa kusema ukweli, kumfunga Sugu imemuongezea sana umaarufu.
Mbaya zaidi kitendo hicho hakijaiongezea CCM umaarufu kanda hii.

Sipendi viongozi wakitukanana hadharani, lakini thats part of politics, ila hi drastic action sana sana Sugu amejijengea public sympathy na mwishowe yeye ndo anaonekana kaonewa kisiasa.
Hiyo public sympathy inageuzwa kuwa political strength.

Tujifunze.
Nashukuru umeleta hii debate, pesonally he was out of order, mkizani/mpinzani huwezi fanya hivyo....
 
Lema mwenyewe alifungwa..kama watavunja sheria kisha wataogopwa sijui litakuwa taifa la aina gani..yaani maana yake waachwe watukane watakavyo..si nchi itakuwa kilabu cha pombe za kienyeji
Hakuna sheria iliyovunjwa pale. Ni upuuzi mtupu. Mtu yeyote mwenye akili timamu na anayejua maana ya kuwa kiongozi hawezi kupoteza muda wake kwa mambo madogo kama hayo yaliyomfunga Sugu.
 
Acha upuuzi.
Ulimwona Dr. Mollel pale Siha?
Jamaa alikuwa na sapoti kubwa sana ya Chadema pale.
Ila "akaunga mkono" juhudi za JPM.
Sasa kashinda tena na ndo jimbo pekee sijasikia chadema wanalilia kuibiwa kura.
Mkuu una mentality ya "regime change" kama ile ya Trump kwa Iran.
Kiukweli thats only a political machination process ambayo haiipi wananchi husika kile wanachohitaji.
 
Mimi ni mwana CCM, tena natembelea sana huko Mbeya.

Kwa kusema ukweli, kumfunga Sugu imemuongezea sana umaarufu.
Mbaya zaidi kitendo hicho hakijaiongezea CCM umaarufu kanda hii.

Sipendi viongozi wakitukanana hadharani, lakini thats part of politics, ila hi drastic action sana sana Sugu amejijengea public sympathy na mwishowe yeye ndo anaonekana kaonewa kisiasa.
Hiyo public sympathy inageuzwa kuwa political strength.

Tujifunze.
Kumbe hua unaona ukweli halisi ila hua unajichetua tu akili ...

Sugu issue is 1 in 10's scenarios ...
 
Back
Top Bottom