Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,240
- 44,487
Amefungwa na mahakama. Kutukana hadharani (Kama kumethibitika mahakamani) si sehemu ya siasa n tusikubali iwe sehemu ya siasa.Mimi ni mwana CCM, tena natembelea sana huko Mbeya.
Kwa kusema ukweli, kumfunga Sugu imemuongezea sana umaarufu.
Mbaya zaidi kitendo hicho hakijaiongezea CCM umaarufu kanda hii.
Sipendi viongozi wakitukanana hadharani, lakini thats part of politics, ila hi drastic action sana sana Sugu amejijengea public sympathy na mwishowe yeye ndo anaonekana kaonewa kisiasa.
Hiyo public sympathy inageuzwa kuwa political strength.
Tujifunze.